Mchungaji wenu nimerudi. Njooni tusalimiane

Maradhi yameongezeka JF tunae DNK hajaanza matibu na wewe umerudi duuu, ila karibu nilikukumbuka sana kwa kweli nina imani mke uliyenaye atakuwa katoka kwa bwana hivyo hatokusumbua
 
Piga huyo mke style ya kibakubaku kwa sana itakuaidia..
 
c kwa kuwa anasema tuu, bali ndivyo anavyoishi na kwa matendo pia

It is too early Mchungaji kusema hivyo. Kwanza bado hakufahamu na wewe humfahamu. Sitabiri mabaya, hapana. Ila naomba muombeane kwa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…