Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Yeye ni mungu atatumiaje biblia sasaZumaridi alishasema hatumii Biblia
Na hahitaji sasa kusems anatumia andiko gani wakati yeye.hatumii Biblia hata kwake anakosalisha na hataki ni kupoteza muda kuhoji
Alishasema yeye ni mungu chini ya jua na hahitaji bibliaYeye ni mungu atatumiaje biblia sasa
Kuna kitu watu hawaelewi kuna maeneo mengine ya ibada sio makanisa likiwemo la Zumaridi ni kituo cha kukusanyika wachawi mchana kweupe na wanaojifunza uchawi chini ya mchawi Zumaridi wakikutana mchana kweupe jua likiwa linawakaYeye ni mungu atatumiaje biblia sasa