ekam master
Member
- Aug 17, 2024
- 46
- 55
Shukuran sana, kwa maana ni nadra mtu kupitia posts za MDA kupelekwa kwenye hizi taasisi. Asante.WENGI UPELEKWA KWENYE HALMASHAURI
NI NGUMU SANAShukuran sana, kwa maana ni nadra mtu kupitia posts za MDA kupelekwa kwenye hizi tahasisi. Asante.
Sasa si wangeacha TAMISEMI akafanya hiyo kazi, au wakaondoa hiyo departments + agencies, wakabaki na Ministries & LGAs 😄. Shukuran sana mkuu, nimekupataN
NI NGUMU SANA
min -me akija anaweza akakuuliza tahasisi ni nini na waajiliwa ni nini? 😅😅😅.Wakuu samahani naomba kujuzwa kuhusu ajira zinazotangazwa na MDA & LGAs. Hapa kwenye 'MDA' mara nyingi naona hizi tahasisi zinazojitegemea zinatangaza nafasi za kazi zenyewe mfano TRA, TANAPA, TAKUKURU nk, sasa je hizi zinazotangazwa kupitia MDA & LGAs waajiliwa wake hupelekwa katika tahasisi gani ikiwa hizi tahasisi bado zinaajili zenyewe? Au kuna tahasisi ambazo haziruhusiwi kujiendeshea mchakato wa ajira!
Haha sawasawa mkuu. Kwenye taasisi hapo nililenga tu [independent departments, na agencies] mara nyingi naona zinajitangazia posts zenyewe. Tafsiri yake hizi zinazotangaza zenyewe hazina habari na posts za MDA.min -me akija anaweza akakuuliza tahasisi ni nini na waajiliwa ni nini? 😅😅😅.
Anyway, ngoja waje watupe muongozo mkuu.
Unataka ajira TRA alafu hauwezi kutofautisha kati ya Taasisi na Tahasisi.Haha sawasawa mkuu. Kwenye tahasisi hapo nililenga tu [independent departments, na agencies] mara nyingi naona zinajitangazia posts zenyewe. Tafsiri yake hizi zinazotangaza zenyewe hazina habari na posts za MDA.
Asante sana mkuu, nashukuru kwa kuniweka sawa.Unataka ajira TRA alafu hauwezi kutofautisha kati ya Taasisi na Tahasisi.
Mkuu kwa ninavofahamu kwa sikuhizi.. izo taasisi zina njia mbili za kuajiri, either ziajiri zenyewe kama taasisi au ziajiri kwa MDA & LGA kupitia utumishi, na sehemu wanapopelekwa ni sehemu izoizo (ikiwa taasisi itashindwa kujiendesha yenyewe kufanya mchakato wa ajira, itaomba watu kutoka uko mda&lga.. Kwaio ukiomba mda&lga unaweza kuta umetupwa popote ambapo pana uhitaji wa watu wa io fani yako.Wakuu samahani naomba kujuzwa kuhusu ajira zinazotangazwa na MDA & LGAs. Hapa kwenye 'MDA' mara nyingi naona hizi taasisi zinazojitegemea zinatangaza nafasi za kazi zenyewe mfano TRA, TANAPA, TAKUKURU nk, sasa je hizi zinazotangazwa kupitia MDA & LGAs waajiliwa wake hupelekwa katika taasisi gani ikiwa hizi taasisi bado zinaajili zenyewe? Au kuna taasisi ambazo haziruhusiwi kujiendeshea mchakato wa ajira!
Karibu Halmashauri mkuu tupambaneWakuu samahani naomba kujuzwa kuhusu ajira zinazotangazwa na MDA & LGAs. Hapa kwenye 'MDA' mara nyingi naona hizi taasisi zinazojitegemea zinatangaza nafasi za kazi zenyewe mfano TRA, TANAPA, TAKUKURU nk, sasa je hizi zinazotangazwa kupitia MDA & LGAs waajiliwa wake hupelekwa katika taasisi gani ikiwa hizi taasisi bado zinaajili zenyewe? Au kuna taasisi ambazo haziruhusiwi kujiendeshea mchakato wa ajira!
Karibu Halmashauri mkuu tupam
Asante, nashukuru sana, nimekuelewa vyema.Mkuu kwa ninavofahamu kwa sikuhizi.. izo taasisi zina njia mbili za kuajiri, either ziajiri zenyewe kama taasisi au ziajiri kwa MDA & LGA kupitia utumishi, na sehemu wanapopelekwa ni sehemu izoizo (ikiwa taasisi itashindwa kujiendesha yenyewe kufanya mchakato wa ajira, itaomba watu kutoka uko mda&lga.. Kwaio ukiomba mda&lga unaweza kuta umetupwa popote ambapo pana uhitaji wa watu wa io fani yako.
Asante, nashukuru sana kwa ufafanuzi wako. Shukuran sana.Mkuu kwa ninavofahamu kwa sikuhizi.. izo taasisi zina njia mbili za kuajiri, either ziajiri zenyewe kama taasisi au ziajiri kwa MDA & LGA kupitia utumishi, na sehemu wanapopelekwa ni sehemu izoizo (ikiwa taasisi itashindwa kujiendesha yenyewe kufanya mchakato wa ajira, itaomba watu kutoka uko mda&lga.. Kwaio ukiomba mda&lga unaweza kuta umetupwa popote ambapo pana uhitaji wa watu wa io fani yako.
Ministries, departments and agenciesKirefu cha MDA ni kipi
Ministries, Independent Departments, and AgenciesKirefu cha MDA ni kipi
Asanteni wakuuMinistries, departments and agencies
Ministries, Independent Departments, and Agencies