haya shukrani michelle..sasa sasa kila kitu huyu sasa anavua kasoro hiyo sidiria tu, kwani uthamani wa mwanamke upo kwenye maziwa tu???
Mie nilidhani chupi kumbe sidilia tuuu ah
nimekuwa nae faragha kwa takribani 2 weeks, lakini sidiria yake alikuwa haivui,sasa hii huwa ina maana gani??nimejaribu kufuatilia nikaona makahaba huwa na sifa kama hizi coz huenda ikawa ndio sehemu zao sensitive akaja kukupenda wakati yy yupo kibiashara zaidi....je ni kweli au la??
yaani only two weeks and sidiria ishaonekana? Kicheche plus....
na downstairs kushachakachuliwa. Khaa!
yaani Maria huwezi amini...ni sidiria tuuuuu ndiyo hataki kuivua,dah!!!
nimekuwa nae faragha kwa takribani 2 weeks, lakini sidiria yake alikuwa haivui,sasa hii huwa ina maana gani??nimejaribu kufuatilia nikaona makahaba huwa na sifa kama hizi coz huenda ikawa ndio sehemu zao sensitive akaja kukupenda wakati yy yupo kibiashara zaidi....je ni kweli au la??
Dah, tukiwakataaa mnatulaumu, tukikubali mnakuja kutusema sema huku,
Mmmm unapenda huyo dada kweli......................basi itoe mwenyewe!!!!!
au pengine ni jini
nimekuwa nae faragha kwa takribani 2 weeks, lakini sidiria yake alikuwa haivui,sasa hii huwa ina maana gani??nimejaribu kufuatilia nikaona makahaba huwa na sifa kama hizi coz huenda ikawa ndio sehemu zao sensitive akaja kukupenda wakati yy yupo kibiashara zaidi....je ni kweli au la??