Mdada anakuuliza, "Mambo? Unaenda wapi?"

Anakushangaa. Anajua huna kazi alafu anakuona unagombania kidaladala saa kumi na mbili asubuhi... Ndio maana anakuuliza unaenda wapi?
 
Nilijua umeshaenda kwenye group ya wasapu kuuliza, "Hivi mwanaume akiuliza unaenda wapi anataka nini?"

BTW are you fine?

Daddy yako Kaboom yuko bize siku hizi, nadhani msimu wa sikukuu biashara itakuwa imechanganya
Teh teh..Mi nilijuaga sikukuu watu wanapiga nguo mpya tu kumbe hadi vifuniko teh
 
Hahaha nimeshauliza zamaniiii. Namshukuru Mungu Niko poa kabisa. Yani hapa ndo natype cha mwisho, tupo dukani hapa na kuna wateja mob, nawapimisha. Vifuniko vinatokajeee
Douta itabidi nikufungulie lako la vifuniko vya achali
 
Kwa nyuzi hizi jf mbioni kupata jukwaa pinzani.
humu watabaki.........................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…