mdada ananiomba tudate baada ya kumsaidia

Rogie

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
7,586
Reaction score
6,697
Habari zenu, kuna mdada nilifahamiana nae wakti npo kidato cha 5(kwenye kutembeleana kishule) na tumekuwa marafiki mpk leo. Mm kwa ss niko mwaka wa 3 bt pia nafanya kazi. Hyu dada wiki jana kanambia ana tatizo babake kadhurumiwa pesa na wafanyabiashara wenzake so yupo hoi kwa bed presha juu na hana pesa kwa sasa.dad akasema hana ada ya ya chuo na hana means ya kupata ela,ndugu wanamuahd bt amna chochte akaomba nimsaidie,coz ni rafiki yangu nikamtumia kias flan alipe c mwajua inalipwa kwa installments. Sasa dada anasema amegundua nna upendo sn na anaomba tuwe wapenzi. Cjajua nifanye nn waungwana naombeni ushauri!!
 
Wewe mtu mzima na uamuzi unao mwenyewe.... kama anakufaa chukua kama vipi piga chini endelea na maisha.... 'Life is all about decisions and sometimes very hard decisions'
 
mnh hujajua kama na wewe umempenda au la???hapo sijui tutakushaurije sasa...:twitch:
 
we ***** sana......

watu mnalalamika eti kwa nini wasichana hawawatongozi....
mkitongozwa mnasema eti sijui nifanye nini?
 
Forget about dating brother! Kumsaidia mtu hakuendani na kuelekea kufanya mambo ya ajabu.
Just tell her kuwa wakati wowote akiwa na shida utamsaidia, pia ku-date siyo namna ya ku-pay back.
Labda kama unampenda,.............!!!!
 
Duh busara inanituma kuwa huyo mdada anaona njia pekee ya kulipa fadhila ni kwa kukuruhusu ule kichwa!!!!!!!!!. Kama ww humpendi huna sababu ya kula kichwa ila kama nawe umeoza kiana basi jiongezee. Mwambie nami nimejitolea kumchangia Semister ijayo!!!!!!!! :twitch:
 
Kiuwkeli hata me nimepata wakati mgumu sana pindi ndugu zetu hususani wadada/wamama kila wanapoomba msaada wengi wao, sio wote huishia kuonyesha dalili za kutaka kunilipa kingono. Mara nyingi nimekuwa najiuliza yyyyyyyyyyyyy aka kwanini?:A S 20:
 
Huyu anataka kulipa fadhila sasa mwonyeshe wewe ni mtu usietaka kulipwa fadhila kwa njia hiyo kama ana mapenzi ya kweli hapo ndio utajuwa.
 
we unamuonaje kwanza anakufaa au laah! maana mwamuzi wa mwisho ni wewe hata tukikupa ushauri
 

Hujajua ufanye nini?
Kwani HALIPI?
Au wewe mlokole?
Kama wewe ni mlokole, congratulations and keep it up.
 
Inaonekana anakupenda, kwa sababu anaamini ukiwa nae utamsaidia kulipa hizo installments zilizobakia..
 
mijitu mingine bwana..............ndo kitu cha kuomba ushauri hco hebu piga kazi ngeke wewe
 
Yaani anataka kukulipa fadhila kwa kuwa umemsaidia? kuwa makini sana kaka huwezi jua asije akawa amekupendea kwamba wewe ni mtoa msaada tu, jifikirie ukija muoa akakuomba msaada halafu ukamnyima hatakuona hufai tena? kama unampenda mchunguze subiri akuombe msaada mwingine then mwambie huna uone kama atakuwa the same
 
tehe penye miti hakuna wajenzi khaaaaaaaaaaaaaaaaa kula kitumbua hichooo
 
Huyu jamaa vp upo ndani y penalt box hlf unauliza ufanye nini!! .....au we beki?
 
Inaelekea manfahamiana vizuri sana, kama huna mungine basi that might be your destiny.
 
Daaaa msamehe basi kama kakosea kukuambia hivo.
Lakini ukweli juu ya hili unaujua mwenyewe, kama moyo wako haukubaliani na matakwa yake basi mwambie ukweli na kama una weza kuendelea kumsaidia usiache. UTABARIKIWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…