mdada ananiomba tudate baada ya kumsaidia


Dah nimeipenda hii!
 
kama unamzgo wako ulikuwa nao chukuwa na huo wa part time kama ulikuwa hauna chukuwa huo ukupige vibomu vizur mana ckakuomba pesa umetoa sasa kale 2nda utoe mshahara mzma kaz kwako
 
True love begins when nothing is looked for in return
 
Du!! Ushaunga tela ?

 
Hivi huwa wanasema, good deeds never go unnoticed au good deeds never goes unpunished
 
mmm kaka sasa unamuumbua mwenzio kwani kumbuka mkono wa kulia unapotoa hakikisha mkono kushoto haujui chochote :roll:hiyo ndio maana ya msaada halafu huja tueleza kama baada ya elimu yenu ya high school mliachana au vipi pia na wewe msimamo wako hukoje kuhusu wewe na yeyer unaye mwingine au bado hujapata kama umepata basi ni kweli kumuambia ukweli mwenzako kuliko kucheza na hisia zake thanks
 

Mkuu apo kwenye caps,hatukuwahi kuwa wapenzi bt we are gud friends.
Mm cna mpenz bt cjawah kumfikiria yeye kuwa mpnz
 
I am talking from experience na katika hili kina mama mnisamehe bure tu,ukweli ni kwamba mwanamke akikuomba mkopo ukampa we jua hiyo ni sadaka tu umetoa maana kwa kawaida huwa hawatulipi. Hiyo moja lakini pili kulala na mwanamke sio lazima uwe unampenda,kama anakutia ashki inatosha tu.Ushauri wangu : Kuliko hela yako ipotee bure (maana hatakulipa i can assure you) bora umgonge hata mara moja tu kama hujanogewa chimba, utamu ukizidi jenga kibanda!
 
Kama vp nifanyie mpango nionane nae ili na mm nimsaidie. tena nitamlipia hadi amalize chuo. hahahaaah!
 
UShauri ni kwamba, tenda wema nenda zako usongoje shukrani. Kama umetoa kwa moyo wote, a.k.a bila kuhitaji malipo kutoka kwake basi ni vizuri tuu umwambie nimekusaidia dada kama rafiki usijali. Pia umweleze kumsaidia kwako kusimuingize katika vishawishi vya kumfanya awe mpenzi wako. Labda kama na wewe umeanza kujenga hisia za matamanio kwake "then you can decide otherwise" Nakutakia busara njema katika kudili na hili tatizo maana pia inahitaji moyo kumwambia hujisikii kuwa naye.
 
ulimsaidia na yeye anahisi unahitaji msaada kutoka kwake, na nahisi ndivo body language yako inavosema.

apo ndio manaume unapotakiwa ku2mia akili ya kidume! kuonyesha msimamo wako wa kumtima.
 

over four years in friendship, bado unajifanya humjui huyu dada na unataka ushauriwe?
imagine ungeshamtongoza akakukatalia, ungeomba ushauri hapa jamvini?
 
Huyu dada sijui ana matatizo gani labda kama mnapendana na wote mko single sawa lakini kama anataka kulipa fadhira amechemka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…