Yaani anataka kukulipa fadhila kwa kuwa umemsaidia? kuwa makini sana kaka huwezi jua asije akawa amekupendea kwamba wewe ni mtoa msaada tu, jifikirie ukija muoa akakuomba msaada halafu ukamnyima hatakuona hufai tena? kama unampenda mchunguze subiri akuombe msaada mwingine then mwambie huna uone kama atakuwa the same
tehe penye miti hakuna wajenzi khaaaaaaaaaaaaaaaaa kula kitumbua hichooo
Duh busara inanituma kuwa huyo mdada anaona njia pekee ya kulipa fadhila ni kwa kukuruhusu ule kichwa!!!!!!!!!. Kama ww humpendi huna sababu ya kula kichwa ila kama nawe umeoza kiana basi jiongezee. Mwambie nami nimejitolea kumchangia Semister ijayo!!!!!!!! :twitch:
Hivi huwa wanasema, good deeds never go unnoticed au good deeds never goes unpunishedHabari zenu, kuna mdada nilifahamiana nae wakti npo kidato cha 5(kwenye kutembeleana kishule) na tumekuwa marafiki mpk leo. Mm kwa ss niko mwaka wa 3 bt pia nafanya kazi. Hyu dada wiki jana kanambia ana tatizo babake kadhurumiwa pesa na wafanyabiashara wenzake so yupo hoi kwa bed presha juu na hana pesa kwa sasa.dad akasema hana ada ya ya chuo na hana means ya kupata ela,ndugu wanamuahd bt amna chochte akaomba nimsaidie,coz ni rafiki yangu nikamtumia kias flan alipe c mwajua inalipwa kwa installments. Sasa dada anasema amegundua nna upendo sn na anaomba tuwe wapenzi. Cjajua nifanye nn waungwana naombeni ushauri!!
Hahaha leo naamka kwa kucheka...Huyu jamaa vp upo ndani y penalt box hlf unauliza ufanye nini!! .....au we beki?
Hahaha hiki ni kicheko changu cha kwanza tokea nimeamka l.o.lHuyu jamaa vp upo ndani y penalt box hlf unauliza ufanye nini!! .....au we beki?
jamaa seme ameweka pozi la kutongozwa na huyo dada ndio maana kabipiwa.Hahaha hiki ni kicheko changu cha kwanza tokea nimeamka l.o.l
mmm kaka sasa unamuumbua mwenzio kwani kumbuka mkono wa kulia unapotoa hakikisha mkono kushoto haujui chochote :roll:hiyo ndio maana ya msaada halafu huja tueleza kama baada ya elimu yenu ya high school MLIACHANA au vipi pia na wewe msimamo wako hukoje kuhusu wewe na yeyer unaye mwingine au bado hujapata kama umepata basi ni kweli kumuambia ukweli mwenzako kuliko kucheza na hisia zake thanks
Habari zenu, kuna mdada nilifahamiana nae wakti npo kidato cha 5(kwenye kutembeleana kishule) na tumekuwa marafiki mpk leo. Mm kwa ss niko mwaka wa 3 bt pia nafanya kazi. Hyu dada wiki jana kanambia ana tatizo babake kadhurumiwa pesa na wafanyabiashara wenzake so yupo hoi kwa bed presha juu na hana pesa kwa sasa.dad akasema hana ada ya ya chuo na hana means ya kupata ela,ndugu wanamuahd bt amna chochte akaomba nimsaidie,coz ni rafiki yangu nikamtumia kias flan alipe c mwajua inalipwa kwa installments. Sasa dada anasema amegundua nna upendo sn na anaomba tuwe wapenzi. Cjajua nifanye nn waungwana naombeni ushauri!!