Yani kuna matendo mnaweza ona kama havina maana ila ,kiukweli vina maana kubwa mno
Unaenda sehemu unaletewa chakula kabla ya maji ya kunywa au ya kunawa
Kibaya Zaid unakuta mke wa mtu yupo kweny ndoa nae atenga chakula Kwa style hii hii
Mama zangu/ zetu ,tufundishieni mabinti zetu Ili wasiachike . Ni aibu
Unaenda sehemu unaletewa chakula kabla ya maji ya kunywa au ya kunawa
Kibaya Zaid unakuta mke wa mtu yupo kweny ndoa nae atenga chakula Kwa style hii hii
Mama zangu/ zetu ,tufundishieni mabinti zetu Ili wasiachike . Ni aibu