mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
Kwa hiyo mmefikia muafaka kuwa LD akipe kibabu kikojoleo chake au akichinjilie mbali?
 
Kwa hiyo mmefikia muafaka kuwa LD akipe kibabu kikojoleo chake au akichinjilie mbali?

Anipe mimi badala ya hicho kibabu....for the sake of kibabu's life....and LD's pleasure...
 
Kwa hiyo mmefikia muafaka kuwa LD akipe kibabu kikojoleo chake au akichinjilie mbali?

Aangalie maslahi tu kama kumpa inalipa poa kama hailipi achape lapa kwani babu wewe una maslahi nikupe nataka kuona ya kibabu pia
 
Ewaaaaa....mimi ni kibabu....hebu njoo pm tutete ki-mshiki/msasha....

Msasha kababu kanataka rport ngoja nifanye kazi kdogo afu, ntarudi baadae. Angalizo msichakachue mambo hapa.
 

Hahahaha...acha ncheke kwanza!
Yani nimesoma post yako na wazo la kwanza kunijia kichwani ni Babu Dark City na huyu Aspirin...sijui ni yupi kati yao!????/
 
Hahahaha...acha ncheke kwanza!
Yani nimesoma post yako na wazo la kwanza kunijia kichwani ni Babu Dark City na huyu Aspirin...sijui ni yupi kati yao!????/

Halafu wewe....... Ndio maana umekomaa mpaka ukitema mate yanadunda kama kitenesi.
 
we mpe tu, nami alikwambia paka mzee hanywi maziwa fresh bana?

hebu chukua paka mzee mpe mtindi uone kama ataunywa lol
 
Halafu wewe....... Ndio maana umekomaa mpaka ukitema mate yanadunda kama kitenesi.

Ni mtazamo..usinichukie!!
Btw, LD ni nani kati yao eti..wanajifanya babu zetu kumbe....Babu Aspirin, wala usitarajie kumuona ur daughter-in-law from me!!!
Mwangalie kwanza..wewe ni mzee mpaka unachomekea ngozi!!!
 
Msasha kababu kanataka rport ngoja nifanye kazi kdogo afu, ntarudi baadae. Angalizo msichakachue mambo hapa.

Na usikute kibabu chenyewe kimeshakulamba wewe LD,
Sasa unachofanya hapa ni kujustify hilo tendo lako,
Na kupata mawazo ya wadau,
Akili yangu imenituma kusema hivyo!!
Pole!!!!!
 
Ni mtazamo..usinichukie!!
Btw, LD ni nani kati yao eti..wanajifanya babu zetu kumbe....Babu Aspirin, wala usitarajie kumuona ur daughter-in-law from me!!!
Mwangalie kwanza..wewe ni mzee mpaka unachomekea ngozi!!!

Hahaha...si afadhali yangu. we mbona una meno mboboko mpaka mswaki unaogopa kuingia mdomoni?
 
Msasha kababu kanataka rport ngoja nifanye kazi kdogo afu, ntarudi baadae. Angalizo msichakachue mambo hapa.

Nikulindie eh? Ntafanya lolote kukuondoa kwa kibabu hicho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…