Kwa hiyo mmefikia muafaka kuwa LD akipe kibabu kikojoleo chake au akichinjilie mbali?
Kwa hiyo mmefikia muafaka kuwa LD akipe kibabu kikojoleo chake au akichinjilie mbali?
Anipe mimi badala ya hicho kibabu....for the sake of kibabu's life....and LD's pleasure...
Halafu wewe, we haya tu
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?
Hasa pale inapotokea majibu yote ulionayo yy ana maswali yake.
Na maswali yote ulionayo yy ana majibu yake.
mweeeeeeee
sikuachii wajukuuu zangu
Kwani na we una shida ya kibabu Maty....
Hapa namsaidia LD tu....nothing personal...
Hahahaha...acha ncheke kwanza!
Yani nimesoma post yako na wazo la kwanza kunijia kichwani ni Babu Dark City na huyu Aspirin...sijui ni yupi kati yao!????/
Closer...closer!.
Halafu wewe....... Ndio maana umekomaa mpaka ukitema mate yanadunda kama kitenesi.
Msasha kababu kanataka rport ngoja nifanye kazi kdogo afu, ntarudi baadae. Angalizo msichakachue mambo hapa.
Ni mtazamo..usinichukie!!
Btw, LD ni nani kati yao eti..wanajifanya babu zetu kumbe....Babu Aspirin, wala usitarajie kumuona ur daughter-in-law from me!!!
Mwangalie kwanza..wewe ni mzee mpaka unachomekea ngozi!!!
Msasha kababu kanataka rport ngoja nifanye kazi kdogo afu, ntarudi baadae. Angalizo msichakachue mambo hapa.
Nikulindie eh? Ntafanya lolote kukuondoa kwa kibabu hicho...
Naona mgambo uko kazini. Field Marshall is watching... closer...closer....
Kasema hataki vibabu ujue.....