eddy brown JF-Expert Member Joined Feb 18, 2013 Posts 414 Reaction score 314 Oct 23, 2019 #1 BABA: Mbona tooth pick zinaisha haraka dada? DADA: Watoto wako hao, wakisha tumia wanatupa, mi nasafisha narudisha Hivi hapo utachukua hatua gani kwa mfano. Chezea dada weee.
BABA: Mbona tooth pick zinaisha haraka dada? DADA: Watoto wako hao, wakisha tumia wanatupa, mi nasafisha narudisha Hivi hapo utachukua hatua gani kwa mfano. Chezea dada weee.
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,717 Reaction score 13,176 Oct 24, 2019 #2 Nao pia ni wanadamu,mkiwafundisha wataelewa Nalog off