Mdada wa Kitanzania ndani ya Ralph Lauren

Status
Not open for further replies.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Unaendesha Van ya mizigo au magazeti?? Mbona boneti haionekani?
Mkuu kwa bichwa la huyu Nyani Ngabu kipewe leseni ya udereva pale marekani?! hapana aisee

Yaani mkuu hii kichwa ya huyu jamaa kama umeisoma fresh si ya kawaida

-Kujianzishia thread na kuja na fake id na kuanza kujitukana matusi ya nguoni ya mama yake hii kichwa inaashiria ina ukichaa next leve

-Kujitangaza umefariki dunia kwa kupigwa risasi hii si akili ya kawaida
 
Simjui mkuu mimi mgeni humu jina lake linaanza na herufi gani ? Maana u housegirl ni cheo kikubwa mno ningependa kumjua nisije kwaruzana naye
Soma page za nyuma utawaona!!

Huyu jamaa ana hadi id za kike na huwezi kumshtukizia!!
 
cheki kitu cha Mustang 5.0 hicho....kinasoma 0 kwenye speedometer
 
My boss bado unajitukana

Teh teh teh....we kweli dakika tano mbele!

Kwa hiyo ndo kusema ushakubali kuwa wewe ni hausigeli wangu?

Nimecheka hadi nimepaliwa!

Sasa...hebu fanya fanya basi uende sokoni ukamchukue yule kuku uje umtengeneze na rosti leo.

Halafu fanya hara nna njaa hapa bosi wako.
 
Duh! kumbe ralph lauren ni jina la bidhaa? Mie nilijua ni jina la show au kipindi cha radfio/TV za mamtoni πŸ™‚
Hongera zake Flavian
 
Kila kitu nishaandaa mbona we njoo mezanii,kisha upitilize chumbani [emoji23]
Halaf huyo housegirl ni wewe tena maana una id mia wewe ,,,homa ya dinazarde
 
Kila kitu nishaandaa mbona we njoo mezanii,kisha upitilize chumbani [emoji23]
Halaf huyo housegirl ni wewe tena maana una id mia wewe ,,,homa ya dinazarde

Halafu hawa ma fans wangu wameenda wapi?

Au bando limeisha labdaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Manake naona sasa kumepooza kweli yaani.
 
Halafu hawa ma fans wangu wameenda wapi?

Au bando limeisha labdaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Manake naona sasa kumepooza kweli yaani.
Heheheheheheh pamepooza jamani mi mpaka naanza kulewa ujue Valentina ananichosha ujue
 
kumbe nyani ngabu ni shoga? Ndio maana ana tabia za ajabu ajabu......
 
Hiyo ishu nimeigundua jana aisee.Puru ya mshkaji siyo nzima.

Kheee ona huyu naye...kumbe huwezi kujizuia kukaa mbali na Ngabu eeh?

Oh shit..nimesahau...kumbe wewe ndo huyo huyo Nyani NgabuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Huyu ndiyo Nyani Ngabu watu wanajimilikisha magorofa wewe unajimilikisha ma fake id! na kujitangaza umekufa ili kuitisha michango ya kuleta maiti Tanzania kumbe kumbe lijitu lizima

Ulikuwa unataka kutapeli watu wakakushtukizia
hahaha miaka hiyo alikuwa anafanya utapeli na Le mutuz...wamewatapeli watu wengi sana kwa kujifanya watawafanyia mpango wa kwenda Marekani kwa green card.....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…