fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
mkongo og?Kama unashida ya nguvu za kiume, Niambie nikuletee mkongo org.. View attachment 3119624
umzidi mtu miaka 20 halafu una akili za hiviSimjui na wala hanijui, tulikutana kwenye baa moja hivi akanipa namba ya simu nikampa. sasa kila siku ananipigia au kutuma sms kuwa anataka kimapenzi. Namzidi miaka 20 hivi, shinikizo ni kubwa. Je nifanyaje?
KemeWewe ni jinsia gani?
Yeah, yeah.....mkongo og?
Kwa hilo jina lako tu hapo ulitakiwa uje kutupa mrejesho tu na sio kutuuliza eti ufanye nini.Simjui na wala hanijui, tulikutana kwenye baa moja hivi akanipa namba ya simu nikampa. sasa kila siku ananipigia au kutuma sms kuwa anataka kimapenzi. Namzidi miaka 20 hivi, shinikizo ni kubwa. Je nifanyaje?
Andaa hela ya kodi laki tatuSimjui na wala hanijui, tulikutana kwenye baa moja hivi akanipa namba ya simu nikampa. sasa kila siku ananipigia au kutuma sms kuwa anataka kimapenzi. Namzidi miaka 20 hivi, shinikizo ni kubwa. Je nifanyaje?