Mr Pixel3a JF-Expert Member Joined Sep 15, 2021 Posts 5,710 Reaction score 8,579 Oct 10, 2024 #41 Mtoa mada tema mate chini....
Nyafula JF-Expert Member Joined May 19, 2023 Posts 376 Reaction score 437 Oct 10, 2024 #42 Ubaya Ubwela 😁
The king 07 JF-Expert Member Joined Sep 6, 2013 Posts 776 Reaction score 1,676 Oct 10, 2024 #43 Tafuna mali hiyo
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Oct 10, 2024 #44 MAKONGOLOSII said: Swali lako linanipa mashaka kama umetimiza miaka18 Click to expand... Namshauri tarehe 27 akae nyumbani tu, haruhusiwi kupiga kura.....
MAKONGOLOSII said: Swali lako linanipa mashaka kama umetimiza miaka18 Click to expand... Namshauri tarehe 27 akae nyumbani tu, haruhusiwi kupiga kura.....
B Brownz Member Joined Jun 28, 2018 Posts 62 Reaction score 99 Oct 10, 2024 #46 Haya ndio madhara ya kutahiriwa na ganzi, hovyo kabisa. Suala dogo kama hili hadi utuletee na sisi? Kwanza umeshasema mmekutana Bar.
Haya ndio madhara ya kutahiriwa na ganzi, hovyo kabisa. Suala dogo kama hili hadi utuletee na sisi? Kwanza umeshasema mmekutana Bar.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Oct 10, 2024 #47 Kambaku said: Kwamba una miaka 45 wewe? Labda mwenzetu miaka yako unahesabu kama kifungo cha jela usiku na mchana ni siku 2 Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kambaku said: Kwamba una miaka 45 wewe? Labda mwenzetu miaka yako unahesabu kama kifungo cha jela usiku na mchana ni siku 2 Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Oct 10, 2024 #48 Hizo sms anawaandikia wengi tu kwa siku,anayenasa anaruka nae...usije ona anakutaka Sana,ni life style yake.
Hizo sms anawaandikia wengi tu kwa siku,anayenasa anaruka nae...usije ona anakutaka Sana,ni life style yake.