Mdada white wa exray hospital binafsi yenye chuo Dar Es Salaam

Mdada white wa exray hospital binafsi yenye chuo Dar Es Salaam

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
702
Reaction score
759
Igweeeee

Kwanza nipongeze kwa huduma bora.

Nakuomba mnamo tarehe tatu mwezi january nilikuja ulinifanyia vipimo vya xray kwa weredi mkubwa nimdada mweupe mnene kiasi ulikuwa umevaa kigauni min

Natamani nikupe zawadi kwa huduma zako bora nimeamua kutokutaja hospital yako but ni hospital private na ina chuo sijui ntakupataje.
 
Sema tu unamlia timing. Ni muda tu. Nenda tena kafanye Exray mkuu utamkuta
 
Kamwangalie kwenye baraza jipya la mawaziri
 
mkuuu nijifanye naumwa

Urudi kwenda kumuimbisha, unajua kabisa ukirudi hospitali ndio utapata kuonana naye na kuendelea na mchakato zaidi...

Ni ajabu umemuona mtu mahali unapoweza kurudi, halafu unakuja mtafutia JF...
 
Urudi kwenda kumuimbisha, unajua kabisa ukirudi hospitali ndio utapata kuonana naye na kuendelea na mchakato zaidi...

Ni ajabu umemuona mtu mahali unapoweza kurudi, halafu unakuja mtafutia JF...
mkuuuu.niende kwa simulizi tz
 
Mkuu Umenikumbusha siku moja nilipoenda Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe,kuna mtoto mmoja mweupe pee alinifanyia vipimo vya X-ray,Sasa aliniambia eti nivue nguo zote, nikagoma,akanibembeleza kwamba nibaki angalau hata na boksa.Mashine ilisimama sana kwa uzuri wake, bahati yake.
 
Mkuu Umenikumbusha siku moja nilipoenda Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe,kuna mtoto mmoja mweupe pee alinifanyia vipimo vya X-ray,Sasa aliniambia eti nivue nguo zote, nikagoma,akanibembeleza kwamba nibaki angalau hata na boksa.Mashine ilisimama sana kwa uzuri wake, bahati yake.
hahaha yaani mkuuu kazi sana
 
kwa kweli we bado mgonjwa nenda hospital tena ukatibiwe hujapona kabisaaaaaa [emoji23]
 
Back
Top Bottom