Anaitwa MUSLIN HAIDERALI RAJABALI.
Majina ya wagombea ubunge kupitia vyama mbalimbali katika majimbo takribani yote nchini
Bado ninakudai majina ya wagombea wa Mkoa wa Tabora, na hasa jimbo la Sikonge.
CCM hawapendi kuona watanzania wanaelimika na kujua haki zao za msingi, hivyo wanafanya kila wawezelo kuhakikisha kwamba watanzania wanabaki mbumbumbu. Wanaua Elimu hapa Tanzania, lakini watoto na wajomba zao wanaenda kusoma nje ya nchi ili wakirudi waje kuchukua ama kupewa madaraka makubwa ndani ya serikali kwa lengo la kurithishana madaraka.
Tuikatae CCM kwa nguvu zetu zote nakwa akili zetu zote. Kumbukeni CCM ni ADUI MKUBWA WA MAENDELEO KATIKA NCHI YETU.
crap ongelea hoja iliyopo.Heshima kwako mwanafyale,
Hongera kwa kutuletea story zisizopendwa hapa jamvini.
Mkuu hizi habari hazitakiwi hapa unatakiwa kumsifia mgombea wa CHADEMA hata kama ni mgombea wa hovyo kiasi gani.Hebu tupe habari huyo mgombea wa NCCR Mageuzi alisema nii.
Heshima kwako mwanafyale,
Hongera kwa kutuletea story zisizopendwa hapa jamvini.
Mkuu hizi habari hazitakiwi hapa unatakiwa kumsifia mgombea wa CHADEMA hata kama ni mgombea wa hovyo kiasi gani.Hebu tupe habari huyo mgombea wa NCCR Mageuzi alisema nii.
Heshima kwako mwanafyale,
Hongera kwa kutuletea story zisizopendwa hapa jamvini.
Mkuu hizi habari hazitakiwi hapa unatakiwa kumsifia mgombea wa CHADEMA hata kama ni mgombea wa hovyo kiasi gani.Hebu tupe habari huyo mgombea wa NCCR Mageuzi alisema nii.
Kwenye mdahalo wa wagombea ubunge wa jimbo la Kigoma Kusini uliorushwa na kituo cha TBC1 jana usiku,mgombea ubunge wa NCCR-Mageuzi kwa kiasi kikubwa alimfunika yule gabachori wa Chadema.
Wadau mliupimaje ule mdahalo?
yule bwana wa chadema hana takwimu kabisa kwa kitu ukilinganisha na wa nccr ambaye alikuwa akijibu kwa takwimu.
najua hoja hii si nzuri kwenu,na wengi mliangalia,mnafahamu nini kinaongelewa.
ni kweli,hapa ni kumsifia mtu yeyote wa chadema hata kama amevurunda.
Mgombea wa Chadema jimbo la Kigoma Kusini oyee!