MDAHALO: M4C, Hatima ni Mageuzi au Mapinduzi?

Wanajamvi hebu tutoe tathimini zetu kuhusu vuguvugu la mabadiliko la chadema (M4C) kama limechangia kuleta afya kwa chama ama limeididimiza chadema. Tuzingatie matokeo ya udiwani kata 29 ambayo kampeni na nguvu kubwa ziliwekwa kuhakikisha cdm inajitanua zaidi. Karibuni kwa michango mature yenye lengo la kuboresha mapungufu.
 
kimahesabu tulishinda chaguzi hizo ingawa hatukushinda kwa kiwango tulichokitalajia wengi...na hii ni changamoto kuhusu M4C kapitie mahojianao ya Zitto utapata maelzo zaidi..
 

we are time poor who do you think can read this lengthy rubbish, try to be brief and to the point.
 
hii nchi nin kSIKINI KWA SABABU WALIOPEWA MADARAKA YAANI POWER WANAYATUMIA KWA MASLAHI YAO WENYEWE HIVYO KULETA MABADILIKO NI LAZIMA UCHUKUE MADARAKA.
 

Uuuh....There is a word SUMMARY...Why ignore it?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…