JamiiTalks MDAHALO(Mitandao ya Kijamii): Mahususi kwa wanafunzi wa vyuo na wahitimu wa elimu ya juu wa Tanzania

Status
Not open for further replies.
Mbona dotcom tu na sisi BBC (wahenga) nafasi yetu iko wapi?
 
Mkuu,

Una uhuru wa Maoni, hivyo Asante kwa kuchangia. Tuna mipango, mikakati na taratibu zetu ambazo zinatulazimu kufanya hivyo. Ukisoma hoja za Post hizo za awali zilizojibiwa, utaelewa.

Hata hivyo hulazimishwi kuelewa, upo huru kuandaa mdahalo na uendeshe kwa misingi na taratibu utakazozipenda.

 
Mkuu,

Utakuwa haipo katika dunia ya leo ama inawezekana si mpembuzi wa masuala yanayotuzunguka na umeelemea kuangalia siasa ama hoja za Kishabiki zaidi.

Unajua idadi ya watu wanaopoteza maisha sababu ya Mitandao ya Kijamii? Unajua kuna watu wanaoibiwa, rubiniwa na kuathirika vibaya tokana na Mitandao hii?

Inawezekana hujui kwamba Tanzania na nchi nyinyi za Kiafrika tume ‘Leap-Frog’ katika technolojia na hivyo kufanya wahanga wawe wengi kuliko wanufaika. Jamii kutambua hili kunatakiwa kuwe na mazungumzo (si matumizi tu).

 
Wanaogopa kufungiwa maana mwafrika Unafki ni sehemu ya Maisha yake kuongea asichoamini
 
Mkuu nenda shule acha kelelee!!
 

Du wajinga mko wengi sana. Na dalili za udikteta usidhani mpka Uwe Mwenyekiti wa Chadema kukaa kwenye chea bila uchaguzi. Inaanza na Watu kama nyie msioheshimu mipango ya wengine Kisa kujiingiza kwenye maono ya kuambiwa. We ujinga wako usipende kutuaminisha. Tuko Tanzania. Na Tanzania hatuna tatizo La udikteta. Kama kweli unaelewa maana ya udikteta. Watu wanaibiwa sana. Watu wanatukana sana. Pengine we UMo badala ya kufaidika na nia ya kuanzishwa Mtandao. Mitandao ni Hela. Ni fedha. Ni opportunity . Je kwako Watu kupata ujuzi na mbinu za kupata Hela ni ujinga . Ujinga ni huo unapandikizwa nakukufanya uache kutafuta maisha yako. Siasa ndugu yangu waachie wanasiasa wanajua wanachotafuta. Do grow up.
 
....kwa povu hizi ukweli umefika jinga kabisa
 
Naona debates zinarudi nchini kivingine..

Midahalo ya kisomi inasaidia sana kushape fikra za vijana.. Naamini in the long run, itasaidia pia kuwajengea watanzania wote kwa ujumla, uwezo wa kuhoji na kujadili masuala nyeti ya kijamii na kitaifa kwa weledi mkubwa tofauti na ilivyo sasa..

Natamani kuona lengo hili linafanikiwa kwa kasi maana hali ni mbaya sana kusema ukweli..
 
Sidhani kama kuna tatizo maana hiyo ipo Public, sio kama id's zetu humu, Personaly naona iko safe!
 
Kwani wamekwambia uandike ID yako ya humu ndani mkuu?

Wamesema uwaambie Kama utashiriki.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…