Mdahalo: Mwanamke "kujua sana" ni "negative" kwake?


Siku jaribu kumpa tigo Mr. ako uene kama atafrahi au atachukia
 
Mi napenda mwanamke anayejua kwa kufanya ajuayo kwa vitendo na sio kujua kwa kupiga domo tu. Mwanamke akiwa proactive bwana na familia inasimama na kueleweka. Hapo hilo suala la ujuaji sio issue kabisa maana najua anajua anachofanya.
Isipokuwa kama ujuaji wenyewe ni huu wa kupiga umbeya na maneno mengi bila vitendo,mmmh!
 
Sijakusoma kamanda embu fafanua kidogo kwanini mwanamke wa kuoa au mke hatakiwi kujua sana
Mwanamke wa kuoa au mke hatakiwi kujua sana!
lakini kimada anatakiwa awe anajua sana!
 
HIvi kumbe wanaume hawajiamini kabisa jamani...........duuuhhh 😛eep:
 

hapo kwenye red ni kweli kabisa.... halafu cha kushangaza mwanaume atasema mkewe goi goi hajitumi wakati akipewa mistaili na maujuzi anakuwa mkali "kajifunzia " wapi.......




 
Mzee MM mie nikawa nawaza kujua siasa sana,kujua kila kitu hapa duniani?
Ila kuhusu hayo mengine ..jamani kuna utundu na ubunifu tu msikimbie....
 
Mtu unataka pilau,lakini hutaki mpishi?
Lakini unataka pilau
Loh
Wanaume bwana? Ndo maana huwa tunaishia kuwaambia ujue diawewe ni mwanaume wangu wa pili tu, kumbe chain inaanzia dar-mwanza
uzuri haina meter useme itasoma unit

Duh Smile,hapo pekundu umeniacha bila mbavu...........and you made my day.May be tunapenda mno kusikia maneno matamu badala ya ukweli japo twajua kuwa twadangaywa.
 
...ivi ukikuta binti hana bikra....
kwanin utilie shaka ujuaji.....
...vp kama ametokea kwenye zle "indastriez"
...we piga mzigo MM.... ucje onekana legelege....
 

bebii....what now......?

 

kweli kabisa, raha upate mjuzi mkunane ipasavyo, inafika kipindi mambo yanaenda 'automatik'
 
kweli kabisa, raha upate mjuzi mkunane ipasavyo, inafika kipindi mambo yanaenda 'automatik'

mkiwa wote wajuzi..mnachagua tu pakuanzia..hahahahaha..akikaa mkao wa L unajua uingie wapi..hahahahaha..akiwa kwenye kochi..hali kadhalika unajua...
 
Kujua sana haina ubaya, tatizo ni namna unaonesha kua unajua na unamfanya mwenzio kua mjinga. Hiyo ni both ways, kwa wanaume na wanawake. Mtu akijua sana mara nyingi anakua humble. wale knows it all maranyingi wanajua very few about everything, no indepth knowledge of a particular field (na hii ndio useful zaidi)
Knowledge is like butter: the less you have, the more you spread.
 
Mwanakijiji, nafikiri hii mada ni mwendelezo wa kiaina wa mada ya hulka ya mtoto wa kike.
Kwa upande wangu mimi ninaamini kabisa mwanamke ana haki ya kuboresha, kufurahia na kusherekea 'mahusiano' kama alivyo mwanaume. Ni haki ya mwanamke kuwa mbunifu (na hapa ubunifu hauishii katika kutunga toka kichwani kwako bali pia kuchukua zile best practices from the past kama zipo) ilmradi anaenjoy na kufurahia maisha

Taabu inakuja kwenye mbinu ya kufikisha ujumbe wake. Kama binti mwenye haiba ya kike kuna njia za kufikisha 'ujuzi' pale inavyostahili. Sio ndo aingie moja kwa moja na kuanza kumgeuza Mwanakijiji kama samaki kikaangoni, kisa anataka kumwonyesha mapishi mapya!!.
 
Hivi umemuelewa kweli Mwanakijiji?
What I mean is wanaume hawapendi wanawake wanao 'jua sana' because they display their knowledge in an unpleasant way (making their interlocutor look ignorant). But mwanake akiwa na ujuzi mkubwa bila kua na hiyo tabia it is not unpleasant to men. If I missed something naomba unieleweshe tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…