Mdahalo: Nape Nnauye vs Yericko Nyerere

Mdahalo: Nape Nnauye vs Yericko Nyerere

Status
Not open for further replies.

AshaDii

Platinum Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
16,189
Reaction score
18,102
Wana JF,

Baada ya maombi ya Yericko Nyerere na Nnauye Jr kuwa wawe na mdahalo wa wazi, JF imeniomba niusimamie mdahalo huo baina ya wawili hawa.

Yatagusiwa masuala kadhaa lakini hatutakwenda kwenye personalities. Yatahusu siasa zetu na vyama vyetu vya siasa nami nitajitahidi kufuatilia maswali ya nyongeza toka kwa wadau katika thread ya ziada ambayo ipo Jukwaa la Siasa ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/372788-ninaomba-mdahalo-wa-kisiasa-na-nape-nnauye.html ) kama side comments.

Kabla hatujaendelea, ningependa wahusika wathibitishe uwepo wao (Yericko na Nape) ili tuanze rasmi.


Karibuni sana.
 
Yericko naomba uendelee kuwepo karibu karibu... Tunasubiri pia Mkuu Nnauye athibitishe uwepo wake ndipo mdahalo uendelee. Nashukuru kwa uwepo wako.

Karibu.
 
Mkuu Nape Nnauye, nakushukuru kwa uwepo wako hata kwa kuchelewa. Kubwa zaidi ni kuwa mdahalo ufanyike na nimesha arifiwa na utawala kuwa mdahalo utakuwa kesho as a result ya Yericko kuwa mbali na access. Hadi hapo kesho tena (nimeambiwa umearifiwa pia).

Asante.
 
Last edited by a moderator:
Aisee msiache kumpa Bu'yaka access ya huku. Asije akamwagia mtu tindikali bure.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom