Ameulizwa swali
Atasaidiaje kutokana na migogoro ya Aridhi mingi iliyopo,
Anasema, matatizo mengi ni kutokana na watendaji ambao wanaendekeza Rushwa, kwa mfano ufisadi ni mwingi sana na unasababisha migogoro,
Mfano , mgogoro kati ya wakulima na wafugaji ni migogoro inayotokana na uzembe wa serkali, mfano wafugaji wa ‘barbari ' waliondolewa na serikali kwenye maeneo yao. Wakaachia, lakini serikali haikuwapatia mahali pa kwenda, serikali makini ni ile ambayo inamuondoa mfugaji alipo na kumepeleka mahala pengine pazuri.
Tatizo ni serikali kukosa umakini, wamelalamika sana hakuna anayewasilikiza, amesema pia wafugaji Wasukuma wanamatatizo yahoo hayo, na serikali haiwasaidii