TheTanzaniaWeWant
Member
- Oct 23, 2013
- 23
- 1
View attachment 118040
Jumapili hii live kupitia ITV, kuanzia saa 9 - 12 jioni EABMTI itakuletea Mdahalo wa Katiba Mpya 'tunakoelekea'. wazunmgumzaji kwenye mdahalo huu watakuwa:
Mh. Angela Kairuki
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba wa Serikali ya Jamhuri ya Tanzania;
Mh. Tundu Lissu (MB)
Waziri Kivuli wa Sheria na Katiba na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni
Hon. Aboubakar Khamis Bakari
Mjumbe wa Baraza La wawakilishi, Jimbo la Mgogoni Pemba,
Waziri wa Sheria na Katiba Serikali ya Umoja Zanzibar
Mwenyekiti wa Mdahalo huu: Rosemary Mwakitwange Muongozaji wa Kipindi cha TV cha Tanzania Tunayoitaka' The Tanzania We Want'
Jumapili Oktoba 27, 2013, Muda: Saa 10 - 12 Jioni
Mahali: Ukumbi wa Kivukoni, Hoteli ya Serena DSM.
Mdahalo huu utarushwa ‘live' kupitia Kituo cha Television cha ITV na Radio one
MDAHALO HUU UNALETWA KWENU NA EABMTI, School of Journalism and Broadcasting na washirika Wake.
Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti yetu.
East Africa Business & Media Training Institute | Center of Excellence
Kwa kununua meza ya matangazo wasiliana nasi kwa simu namba.
Kama una swali ungependa liulizwe tafadhali litume kupitia info@eabmti.co.tz
Kama unataka kushiriki tafadhali wasiliana nasi kwa ajili ya kupata kadi ya mwaliko.
Jumapili hii live kupitia ITV, kuanzia saa 9 - 12 jioni EABMTI itakuletea Mdahalo wa Katiba Mpya 'tunakoelekea'. wazunmgumzaji kwenye mdahalo huu watakuwa:
Mh. Angela Kairuki
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba wa Serikali ya Jamhuri ya Tanzania;
Mh. Tundu Lissu (MB)
Waziri Kivuli wa Sheria na Katiba na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni
Hon. Aboubakar Khamis Bakari
Mjumbe wa Baraza La wawakilishi, Jimbo la Mgogoni Pemba,
Waziri wa Sheria na Katiba Serikali ya Umoja Zanzibar
Mwenyekiti wa Mdahalo huu: Rosemary Mwakitwange Muongozaji wa Kipindi cha TV cha Tanzania Tunayoitaka' The Tanzania We Want'
Jumapili Oktoba 27, 2013, Muda: Saa 10 - 12 Jioni
Mahali: Ukumbi wa Kivukoni, Hoteli ya Serena DSM.
Mdahalo huu utarushwa ‘live' kupitia Kituo cha Television cha ITV na Radio one
MDAHALO HUU UNALETWA KWENU NA EABMTI, School of Journalism and Broadcasting na washirika Wake.
Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti yetu.
East Africa Business & Media Training Institute | Center of Excellence
Kwa kununua meza ya matangazo wasiliana nasi kwa simu namba.
Kama una swali ungependa liulizwe tafadhali litume kupitia info@eabmti.co.tz
Kama unataka kushiriki tafadhali wasiliana nasi kwa ajili ya kupata kadi ya mwaliko.