Elections 2010 Mdahalo wa Prof. Lipumba Movenpick leo, live ITV

ExpertBroker

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2009
Posts
454
Reaction score
107
Ule mdahalo uliokuwa ufanyike kesho, unafanyika leo ndani ya hotel ya Movenpick, ukumbi wa Kivukoni. Kuanzia saa1 hadi saa3 usiku na kurushwa live kupitia ITV. Kutokana na kuwa short notice, inasemekana hakuna card, kiingilio ni miguu yako na ustaarabu wako.
 
Prof. Lipumba atakuwa Jangwani leo. Kuna ka-ujanja fulani kanatumika kwa sababu kama leo atakuwa live kwenye TBC na kesho atakuwa tena live kwenye "mdahalo" hiyo itakuwa good coverage. Kwa hiyo wameona bora wamalize kila kitu leo ili asionekane tena kwenye TV mpaka uchaguzi!
 


Kudadeki sijakusoma, Mdahalo wa Prof. Lipumba ni leo live ITV toka Movenpick!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…