Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 125
:crying:Wapendwa,
Kwa TZS 100,000 watu 100 JF tunaweza kuandaa mdahalo wa urais.
Muda wa kupiga domo umekwisha je? Tunataka na mwaka huu kusiwe na mdahalo kama 2010? Je unadhani kuna mtu mwingine wa kuanzisha hili swala zaidi ya JF? Mimi nadhani haiwezekani. Basi kama unaona hili jambo ni zuri na uaweza support basi orodhesha jina lako hapa ili tuwape moyo viongozi wetu wa huu mtandao waweze kufanya mambo makubwa. Kama kuna chama hakitashiriki basi ni kivyao vyao
Tafadhari siitaji matusi na kejeli ukiona hili wazo halifai nenda kwenye topic zingine.
1. Shalom TZS 200,000 (ameshatoa 100,000!)
2. Nyani Ngabu $500 (TZS 750,000)
3. Invisible TZS 300,000/=
4. De Novo TZS 200,000/=
5. Lusajo L.M TZS 50,000/=
6. Mchukia Fisadi TZS 50,000/=
7. Mtu wa Pwani TZS 1,000,000/=
8. Chakaza TZS 100,000/=
9. Ntemi Kazwile 50,000/=
10. Natasha Ismail 50,000
11. MC 50,000 (Ametoa yote!)
12. Nyambala ($100) 150,000
13. Selous 50,000
14. Kisoda2 50,000 (Ametoa yote!)
15. Chesty 50,000
16. Ndege ya Uchumi 50,000
17. Mzee Mwanakijiji (atatoa ahadi)
18. Misonge 50,000
19 Mtwa 200,000
20. Steve Dii 80,000
21. Acid 200,000
22. Masanilo a.k.a Shalom au Mzee wa Texas 50,000
Jumla ya ahadi so far ni TZS 3,730,000. Cash so far 200,000 Thanks wazalendo kwa kuwa tayari kutengeneza historia!
Kwa TZS 100,000 watu 100 JF tunaweza kuandaa mdahalo wa urais.
Muda wa kupiga domo umekwisha je? Tunataka na mwaka huu kusiwe na mdahalo kama 2010? Je unadhani kuna mtu mwingine wa kuanzisha hili swala zaidi ya JF? Mimi nadhani haiwezekani. Basi kama unaona hili jambo ni zuri na uaweza support basi orodhesha jina lako hapa ili tuwape moyo viongozi wetu wa huu mtandao waweze kufanya mambo makubwa. Kama kuna chama hakitashiriki basi ni kivyao vyao
Tafadhari siitaji matusi na kejeli ukiona hili wazo halifai nenda kwenye topic zingine.
1. Shalom TZS 200,000 (ameshatoa 100,000!)
2. Nyani Ngabu $500 (TZS 750,000)
3. Invisible TZS 300,000/=
4. De Novo TZS 200,000/=
5. Lusajo L.M TZS 50,000/=
6. Mchukia Fisadi TZS 50,000/=
7. Mtu wa Pwani TZS 1,000,000/=
8. Chakaza TZS 100,000/=
9. Ntemi Kazwile 50,000/=
10. Natasha Ismail 50,000
11. MC 50,000 (Ametoa yote!)
12. Nyambala ($100) 150,000
13. Selous 50,000
14. Kisoda2 50,000 (Ametoa yote!)
15. Chesty 50,000
16. Ndege ya Uchumi 50,000
17. Mzee Mwanakijiji (atatoa ahadi)
18. Misonge 50,000
19 Mtwa 200,000
20. Steve Dii 80,000
21. Acid 200,000
22. Masanilo a.k.a Shalom au Mzee wa Texas 50,000
Jumla ya ahadi so far ni TZS 3,730,000. Cash so far 200,000 Thanks wazalendo kwa kuwa tayari kutengeneza historia!