Elections 2010 Mdahalo Wa Wagombea Uraisi Zanzibar

Falconer

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2008
Posts
891
Reaction score
541
Habari za kuaminika zinasema kuwa leo ule mdahalo ulioandaliwa Zanzibar, wahudhuri hawakufika isipokuwa Maalimi Seif Sharrif pekee yake. Maalim Seif akihojiwa na waandishi wa habari aliieleza ilani ya chama chake juu ya Zanzibar. Lakusikitisha ni kuwa Ali mohammed Shein hakuwepo wala wapinzani wenza pia hawakuwepo.
 
Inaonekana Tanzania nzima yeye ndie mpinzani wa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…