Mdahara wa katiba Serena Hotel

Mdahara wa katiba Serena Hotel

bullet

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
1,047
Reaction score
543
Hivi selikari yetu inaogopa debates au tunadanganywa na media? Tulitangaziwa kuwa katika mdaharo wa leo hapa Serena Hotel watoa mada watakuwa ni pamoja na naibu waziri wa sheria na katiba mh. Anjella Kairuki, Tundu LISSU na dr Mohamed Alei toka Zanzibar.
Unfortunately, Naibu waziri hakuudhuria wala hajatuma mwakilishi. Je ni fair hii? Tunakosa views from the government side.
 
hii serikali ys machizi,wanafikiri watz wa mwaka 70 ndo wa leo.
 
Back
Top Bottom