jose1denis
Member
- May 18, 2014
- 16
- 4
"Nanukuu
Unaweza kuishi mpaka miaka mia kwa kutumia mdalasini na asali. Matayarisho vijiko 4 vikubwa vya mdalasini changanya kwenye maji vikombe 3 koroga kwa dakika 10 kunywa robo kikombe mara 3 au 4 kwa ck"
Najua humu kuna watu logic sana mimi ctak siasa ya wanasayansi wanaendesha uchunguz na kushaur afya huku wana vitambi na obesity.
Swali langu ni kuhusu mechanisim ya mdalasin au content zake zenye kufanya miujiza hyo nakivip hufanya (mechanism).
Twende na fact
Unaweza kuishi mpaka miaka mia kwa kutumia mdalasini na asali. Matayarisho vijiko 4 vikubwa vya mdalasini changanya kwenye maji vikombe 3 koroga kwa dakika 10 kunywa robo kikombe mara 3 au 4 kwa ck"
Najua humu kuna watu logic sana mimi ctak siasa ya wanasayansi wanaendesha uchunguz na kushaur afya huku wana vitambi na obesity.
Swali langu ni kuhusu mechanisim ya mdalasin au content zake zenye kufanya miujiza hyo nakivip hufanya (mechanism).
Twende na fact