Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Rafiki yangu amelazwa kwenye hospital kubwa kuliko hapa nchini. kabla ya kulazwa alianzia hospital ya mkoani wenyewe wanaziita za rufaa baadae akapewa rufaa kuja hospital moja yenye jina kubwa DSM.
Tatizo lake halikupata ufumbuzi it is like they were treating shadow. Hivyo akaamua kuomba rufaa kwenda kwenye hospital kubwa kuliko. Baada ya kufika hapo daktari akakataa kupokea vipimo alivyokuja navyo mgonjwa kutoka hospital yenye jina kubwa hapo Dar. Daktari akasisitiza kwamba mgonjwa atachukua vipimo vipya (similar) hapo hospitalini. results will be out today.
What does this tells? He (doctor) doesn't trust the other doctors/hospital? That there is no objectivity in medical industry? Kibaya zaidi kila daktari anayekutana naye kwenye matibabu yake anamwambia ugonjwa tofauti. Jamaa amechoka.
Tatizo lake halikupata ufumbuzi it is like they were treating shadow. Hivyo akaamua kuomba rufaa kwenda kwenye hospital kubwa kuliko. Baada ya kufika hapo daktari akakataa kupokea vipimo alivyokuja navyo mgonjwa kutoka hospital yenye jina kubwa hapo Dar. Daktari akasisitiza kwamba mgonjwa atachukua vipimo vipya (similar) hapo hospitalini. results will be out today.
What does this tells? He (doctor) doesn't trust the other doctors/hospital? That there is no objectivity in medical industry? Kibaya zaidi kila daktari anayekutana naye kwenye matibabu yake anamwambia ugonjwa tofauti. Jamaa amechoka.