Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

Kitimoto ya maana ipo moshi kibororoni kwa mlomboo

Wewe ni Shehe,Tena masjid Quiblaten huko Kariakoo,Kabila ni Mzigua maana kwa uongo umepitiliza.

Eti Kitimito kwa mromboo ,Kiboroloni,Stupid wee,Mromboo ni Chugga na kule kuna Mbuzi tu,Kiboroloni ipo Untonye Ukononze,
 
Napat wapi kitimoto kigamboni

Kama ni mbichi inapatikana maeneo ya mbuyuni kama unaendavijibweni.kituo kinachofuata baada ya kituo cha uzunguni.kuna kitimoto buchry

Nilikuwa nakulaga kipindi hikooo lulu maeneo ya mji mwema ila kwa sasa nasikia imebadilishwa jina na sina uhakika kama bado wanapika ile kitu
 
Wewe ni Shehe,Tena masjid Quiblaten huko Kariakoo,Kabila ni Mzigua maana kwa uongo umepitiliza.

Eti Kitimito kwa mromboo ,Kiboroloni,Stupid wee,Mromboo ni Chugga na kule kuna Mbuzi tu,Kiboroloni ipo Untonye Ukononze,
umepandwa majini nn? unaleta story za kujuana hapa? live your life
 
Rosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?

Muanzishe chama chenu walafi wote wa tanzania mkiite chama cha walafi tanzania(chawata)
 
Sinza karibu na Travetine ni noma
..cha kuchoma
 
King of table (pork) sio nyama ya mchezo mchezo wazungu wenyewe wanaitambua natoa ofa kwa mwanajamii forum yeyote aliye wilaya ya Nachingwea. Mkoani lindi tutafutane jioni ya Leo baada ya kazi 0783848802 kanisani kwa father makota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…