Floating restaurantYakhee wap kitimoto naweza pata hapa forodhan!!!!!!
Inafikia ya Mianzini Arusha?Kitimoto ya maana ipo moshi kibororoni kwa mlomboo
Rombo ipi, ile ya shekilangonenda liquid pub...rombo bar
Akuu! Siruhusiwi kutoka usikuPaprika njoo bibie[emoji4]
MmmmmmmmAkuu! Siruhusiwi kutoka usiku
Sema ulipo nikupitie ukate kishoka kish tuitafune ...shart usiwe mtu wa pozi eti robo kilo tu unagwaya ooh nimeshiba hapana asiee...atleast kuanzia nusu kilo! Sawa?Nyie watu mnaniua na haya mapicha yenu jamani!!! Na nilivyo na ubaooo... Ukicheki jikoni kuna ugali na majani ya maboga!!! [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kitu cha kuchoma mkuu, ndiyo napata hapa! KARIBU sana Kiongozi
mixakama ii apa
aloooo!!!kama ii apa
Rosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?
Rosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?
isingekua huu mfungo hii sred ingekua page ya 20 sasa hivi..Rosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?
Anhahahaahaa......nimekuelewaaa...isingekua huu mfungo hii sred ingekua page ya 20 sasa hivi..
HahahahahahaaaaaaNadhani ndo maana wauzaji wameshusha bei sana aisee, kitimoto rosti na ndizi 2...6,000TSHS?? uliona wapi?
Sasa ukiondoa mafuta yote.. Majini yatakimbiaje.. Mana nasikia mafuta yake ni bomu la machozi kwa majiniOKAY I ALWAYS INSIST ON STEAK! ANATOA NGOZI NA MAFUTA YOTE! INACHEMSWA KWA 1 HR,IKITIWA TANGAWIZGI+LIMAO, KISHA INAROSTIWA KWA MAFUTA,THEN INATENGEZWA CRDB STYLE ONLY VITUNGU+CAROTS+HOHO NA NYANYA YA KOPO KIASA AND THEN COOKED TO ROAST FLANI AMAIZING! SERVE WITH ROASTED HALF RIPPEN PLANTAIN(MZUZU) AMA UGALI DONA! AM LOVING MY WEEKEND TREAT!