Mdee na wenzake wakiomba msamaha nashauri wasamehewe

Mdee na wenzake wakiomba msamaha nashauri wasamehewe

Katesh stand

Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
41
Reaction score
75
Wadau wa JF habari!

Kama ikitokea hawa wanawake wakatambua kua wamekosea na kuomba radhi nashauri wasamehewe. Jambo hili limetukwaza wengi ila kama watakiri makosa wasamehewe na tuwapokee.

CCM iliweza kuwasamehe kina Sophia Simba. Jesca Msambatavangu na wengineo hivyo sio ajabu kwa kuwasamehe waliokuwa wanachama wetu watakapo tubu.

Chama cha siasa mtaji wake ni watu hivyo ikitokea wakaomba radhi viongozi wetu msisite kuwasamehe.

Mwisho kabisa niushukuru uongozi wa juu wa chama na kamati kuu kwa ujumla kusimamia nidhamu ndani ya Chama.
 
Wadau wa Jf habari!.Kama ikitokea hawa wanawake wakatambua kua wamekosea na kuomba radhi nashauri wasamehewe.Jambo hili limetukwaza wengi ila kama watakiri makosa wasamehewe na tuwapokee. CCM iliweza kuwasamehe kina Sophia Simba,Jesca Msambatavangu na wengineo hivyo sio ajabu kwa kuwasamehe waliokuwa wanachama wetu watakapo tubu.Chama cha siasa mtaji wake ni watu hivyo ikitokea wakaomba radhi viongozi wetu msisite kuwasamehe. Mwisho kabisa niushukuru uongozi wa juu wa chama na kamati kuu kwa ujumla kusimamia nidhamu ndani ya Chama.
CHADEMA sio CCM, huku msaliti ni msaliti tu
 
Halima tayari amepokea asubuhi hii kadi ya CCM toka kwa Polepole
Na wakawe wabunge wa huko huko. Huku chadema, wameishamaliza kulea kukuza. Waende sasa wakaolewe huko waendapo.

Maendeleo haya chama
 
Wadau wa Jf habari!.Kama ikitokea hawa wanawake wakatambua kua wamekosea na kuomba radhi nashauri wasamehewe.Jambo hili limetukwaza wengi ila kama watakiri makosa wasamehewe na tuwapokee. CCM iliweza kuwasamehe kina Sophia Simba,Jesca Msambatavangu na wengineo hivyo sio ajabu kwa kuwasamehe waliokuwa wanachama wetu watakapo tubu.Chama cha siasa mtaji wake ni watu hivyo ikitokea wakaomba radhi viongozi wetu msisite kuwasamehe. Mwisho kabisa niushukuru uongozi wa juu wa chama na kamati kuu kwa ujumla kusimamia nidhamu ndani ya Chama.
Leo hii anaitwa Mdee, sio msaliti na covid 19 tena? Mbona mnahangaika kama kuku anaetafuta pakutaga? Waacheni wabunge wawatu wasio na chama wafanye kazi zao.
 
We jamaa Katesh stand mnaendeleaje hapo kwenye mavumbi na mchanga wa kuchapa nyayo za miguu.....eli mtei hapo pick n' pay hajambo?!....kina joachim na baha wa hapo chini friends corner je?!
 
Mkuu Bujibuji naelewa kosa walilotenda limeumiza wengi ila kwa ushauri wangu wasamehewe tupunguze hasira katika hili.
Warudi ili wasaliti tena? Mi nawashauri tu, wakaanzishe chama chao, najua CCM watawasaidia na watawaunga mkono, na watakifanya kuwa chama kikubwa cha upinzani, ili kila ambacho CCM wanakusudia kukifanya, wapewe green light kirahisi
 
LEO HII ANAITWA MDEE, SIO MSALITI NA COVID 19 TENA?? MBONA MNAHANGAIKA KAMA KUKU ANAETAFUTA PAKUTAGA?? WAACHENI WABUNGE WAWATU WASIO NA CHAMA WAFANYE KAZI ZAO.
Acha kutukana watu,kila mtu ana maoni yake, nyie praising team mbona hatuwatukani!?. Pia sio lazima uchangie kuficha ujinga wako, waweza soma ukapita.
 
Ndoto nyingine ni nzuri.

Hivi unamuona mtu wa kyomba msamaha hapo.
 
Back
Top Bottom