sir. Mwasongwe
Senior Member
- May 30, 2015
- 106
- 75
Habari za Kazi wadau wa maendeleo.
Tunatafuta MTU anayeweza kutudhani, au kufanya naye kazi kulingana Na wazo letu kuanzisha kiwanda kidogo cha bites bajeti ni 2,705,000. Mdhamini atanufaika kwani tutakaa mezani Na kupanga namna ya kupata gawiwo la faida kila mwezi baada ya mauzo yote.
Utafiti tumefanya tumejiridhisha.
Wazo La kuanzisha uzalishaji wa vitafunwa vyote (bites) kama vile mkate, skonzi, keki, tambi, kokoto, clips, chapati nk tunapika wenyewe
Soko lipo la uhakika jijini dar es salaam Na nje ya dar es salaam
Mahitaji yanayo hitajika.
1: oveni ya kuoka mikate 1@700,000=700000
2: mixer 1@500,000=500000
3: mafuta Lita 10@3500= 35000
4: umeme 20,000
5: Baiskeli 2@150000=300,000
6: makopo ya mkate dz 10@25,000=250,000
7: makopo ya skonzi dz 10@10000=100,000
8: pango la chumba miezi 3@ 50,000 =150,000
9: vanila, maziwa, calcium, mifuko na kuprint nembo, food colour =200,000
10: ngano mifuko 10@35000=350,000
11: tahadhari =100000
Jumla ni 2,705,000
Kwa maelezo zaidi 0758978644
Tunatafuta MTU anayeweza kutudhani, au kufanya naye kazi kulingana Na wazo letu kuanzisha kiwanda kidogo cha bites bajeti ni 2,705,000. Mdhamini atanufaika kwani tutakaa mezani Na kupanga namna ya kupata gawiwo la faida kila mwezi baada ya mauzo yote.
Utafiti tumefanya tumejiridhisha.
Wazo La kuanzisha uzalishaji wa vitafunwa vyote (bites) kama vile mkate, skonzi, keki, tambi, kokoto, clips, chapati nk tunapika wenyewe
Soko lipo la uhakika jijini dar es salaam Na nje ya dar es salaam
Mahitaji yanayo hitajika.
1: oveni ya kuoka mikate 1@700,000=700000
2: mixer 1@500,000=500000
3: mafuta Lita 10@3500= 35000
4: umeme 20,000
5: Baiskeli 2@150000=300,000
6: makopo ya mkate dz 10@25,000=250,000
7: makopo ya skonzi dz 10@10000=100,000
8: pango la chumba miezi 3@ 50,000 =150,000
9: vanila, maziwa, calcium, mifuko na kuprint nembo, food colour =200,000
10: ngano mifuko 10@35000=350,000
11: tahadhari =100000
Jumla ni 2,705,000
Kwa maelezo zaidi 0758978644