Hongereni sana kwa kutekeleza wazo lenu, ushauri wangu msifokasi zaidi kutafuta mzamini. Kwasababu mnamtaji kidogo wekeni malengo ya kuukuza hivyo hivyo kibiiishi! Kutokana na juhudi zenu wafadhili watajitokeza wenyeweTumeanza Na clips, tambi, Na vikokoto. Kutokana Na kiwango chetu cha fedha kidogo sana lakin malengo yetu n kuzalisha bites zoteView attachment 1203733View attachment 1203737
Hongereni sana kwa kutekeleza wazo lenu, ushauri wangu msifokasi zaidi kutafuta mzamini. Kwasababu mnamtaji kidogo wekeni malengo ya kuukuza hivyo hivyo kibiiishi! Kutokana na juhudi zenu wafadhili watajitokeza wenyewe
ila kama mmeweza kuanza na kuuza mdhamini wa nini ? Hizo pesa mnazotaka kwa mdhamini sio nyingi bora mtafute others sources of finance.., hapo mdhamini atakula tu jasho lenu, sioni kama hizo 2m zitakuza ufanisi (ukizingatia marketing ndio kazi kubwa zaidi ambayo mmeshaifanya) ingekuwa mnataka kufungua bakery kubwa ya pesa nyingi zaidi hapo sawa...Kwa sasa hatuna uwezo wa kuajiri maana production bado n ndogo ndiyo maana tunatafuta mdhamini
ila kama mmeweza kuanza na kuuza mdhamini wa nini ? Hizo pesa mnazotaka kwa mdhamini sio nyingi bora mtafute others sources of finance.., hapo mdhamini atakula tu jasho lenu, sioni kama hizo 2m zitakuza ufanisi (ukizingatia marketing ndio kazi kubwa zaidi ambayo mmeshaifanya) ingekuwa mnataka kufungua bakery kubwa ya pesa nyingi zaidi hapo sawa...
Jaribu Saccos; ndugu au hata benki kama tayari mna business inayo-run....