pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Swadaktaaaaa.!! Well said mkuuMbona unalinganisha angle mbili tofauti? Kwanini usifikirie ataanza kuvaa chupi mitaani na ufikirie unga wakati trend yake haiyoneshi hivyo? Kwanini usifikirie ataanza kunyoa kipara au kuwa na rasta kichwani kama trend inavyoonesha?
Hivi dressing na starehe ni kitu kile kile? Manake ninachoona; mvuta sigara, bangi, unga, shoga, basha n.k hawa wanatafuta STAREHE! Kwahiyo anayetupia gold kila possible angle, anayependa pamba, viatu vya gharama, gari zuri... hivi huyu nae anatafuta starehe?!
Ukipata muda, jiongezee maarifa kati ya dhana mbili tofauti: STAREHE vs UFAHARI! Intro tu ni kwamba, majority ya wapenda starehe wanapenda pia kufanya ufahari ingawaje sio wote wana uwezo huo! Hata hivyo, kupenda ufahari si lazima kuendane na starehe ingawaje wenye kufanya ufahari wote wana uwezo wa kiuchumi wa kufanya na starehe!
Hawa ndo pale unakuta mtu ana bonge la mjumba wakati hana familia ; ana magari zaidi ya 7 wakati yupo peke yake, ana Smart tv ya Sh. 100M, nyumba ina gold accessories everywhere; yeye mwenyewe anavaa magram kwa grams ya germ stones accessories lakini usije kushangaa ukiambiwa hata ukianza kuvuta sigara mbele yake anaondoka!
Na ukitaka kugundua mahaba ya Diamond sio vitu vya kutafuta starehe bali vitu vya ufahari, anza jinsi alivyoirembaremba nyumba yake; rudi jinsi anavyoiota Rolls Royce, angalia hata ofisi yake tu!
Vitu vya kifahari ni for social satisfaction wakati anasa ni for personal satisfaction!
Angalizo murua sana, hasa kwa vijana wa leo wanaopenda kuiga kila kitu hasa vya kimarekani. Msibaki tu kubeza, ipo siku twaweza anza kushangaa kila mtu haamini kama ndio yule kweli ama kalogwa. Mwenye masikio na asikie.
Hivi vitu vipo tu, vinakuja na vitapita and wala Diamond hawezi kuwa wa mwisho!Angalizo murua sana, hasa kwa vijana wa leo wanaopenda kuiga kila kitu hasa vya kimarekani. Msibaki tu kubeza, ipo siku twaweza anza kushangaa kila mtu haamini kama ndio yule kweli ama kalogwa. Mwenye masikio na asikie.
Kwanza ngoja nikuambie... sometimes ni sisi(Waafrika) wenyewe tu hatujiamini! You know what, kitambo sana enzi hizo niko Chalii wa O Level nilienda bush! Enzi zile watoto wa O Level full Mlegezo! Kufika Bush, I mean Bush nakuta uncle wangu mtu mzima nae anavaa mlegezo and I don't care kama nae ilikuwa for fashion or else lakini kinachofurahisha ni kwamba nikamsikia bibi (alikuwa above 80) akiita ile style "pondomo!" Nikajiuliza huyu uncle wangu huyo mzungu kamuonea wapi akiwa kavaa pondomo! Lakini kv hatujiamini, leo hii nikivaa pondomo watu watasema nimemuiga Lil Wayne wakati hata uncle wangu asiyemjua Lil Wayne nae full pondomo! Si hivyo tu, kuna makabila kibao ya kiafrika ambayo wanaume wanatoga na kuvaa vipini lakini leo hii ukifanya utaambiwa unaiga Wamarekani!Tatizo watu mnapenda kuongea kwa hulka... Hakuna mtu anayeishi bila kuiga tamaduni za mbele, ikiwemo wewe na nywele za wazungu/plastick.. Na kwa hivo hawezi mtu akasema kwa kuwa unaiga mitindo ya nywele, basi utaiga matumizi ya dawa za kulevya na kuingiliwa kinyume na maumbile ni vitu viwili tofauti kama ilivyo kwa mtoa mada, diamond kutupia gold mwilini kuuweka mwili kistar anapokuwa kwenye spotlight ni tofauti na upuuzi alioongea mtoa mada...
Kwanza ngoja nikuambie... sometimes ni sisi(Waafrika) wenyewe tu hatujiamini! You know what, kitambo sana enzi hizo niko Chalii wa O Level nilienda bush! Enzi zile watoto wa O Level full Mlegezo! Kufika Bush, I mean Bush nakuta uncle wangu mtu mzima nae anavaa mlegezo and I don't care kama nae ilikuwa for fashion or else lakini kinachofurahisha ni kwamba nikamsikia bibi (alikuwa above 80) akiita ile style "pondomo!" Nikajiuliza huyu uncle wangu huyo mzungu kamuonea wapi akiwa kavaa pondomo! Lakini kv hatujiamini, leo hii nikivaa pondomo watu watasema nimemuiga Lil Wayne wakati hata uncle wangu asiyemjua Lil Wayne nae full pondomo! Si hivyo tu, kuna makabila kibao ya kiafrika ambayo wanaume wanatoga na kuvaa vipini lakini leo hii ukifanya utaambiwa unaiga Wamarekani!
Anyway, inawezekana ulikuwa inspired na Wanyamwezi but what's important hizo swaga kumbe hata sisi tunazo long time kitambo! Tena usije kuta wao ndo wametuiga sisi lakini kv hatujiamini na kujithamini mara zote tunadhani sisi ndo tunaiga!