babe, hiyo four cousins bei gani ? naona ina utofauti na niliyozoea kuionaBasi bwana,
Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu.....
Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....
Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani....
View attachment 2116512
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....π¬.
Naomba Mungu pakuche salama nirejee kwangu π.
Kawaida ni ileile, Haba ni la Baba.
Kasinde.
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....[emoji51].[emoji23]Basi bwana,
Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu.....
Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....
Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani....
View attachment 2116512
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....[emoji51].
Naomba Mungu pakuche salama nirejee kwangu [emoji849].
Kawaida ni ileile, Haba ni la Baba.
Kasinde.
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....[emoji51].[emoji23]View attachment 2116751
Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....
Mbona mbiombio yaani saa kumi na mbili ushafika kwako?huyo binamu kakufukuza?Yaani, nimepambana nayo usiku kucha.
Nashukuru kumekucha salama, nimerejea kwangu salama π
Hajanifukuza nimemuaga japo alitaka niendelee kukaa kwake...Mbona mbiombio yaani saa kumi na mbili ushafika kwako?huyo binamu kakufukuza?
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Aisee binamu Hana huruma huyo..umekesha anataka ushinde Tena?Hajanifukuza nimemuaga japo alitaka niendelee kukaa kwake...
Usingizi umenizidia, hapa najiandaa kulala.
Maana sijalala usiku mzima, niliogopa kumchekea nyani..π asubuhi hii ningejikuta nakula mabua.
kasie matata...π€..nakutamanigi One day yesπWhine hapahapa Tanzania....!!!?
Mi sijaiona...! Ngoja wengine waseme.