Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,596
- 2,079
Na ukimuacha tu ndan ukaenda job ujue ndio umeoa utakuta kafanya usafi wa hatar msosi mezan hahahMkuu wanagoma kuondoka wanatoaga sababu zisizo na kichwa wala miguu
Kashaanza kumuita "My" habari imeisha hiyo😂😂😂😂"acha ubairi,acha kuchunguria Hera,unapenda vya dezo si umtumie hera toka mailisita" ulale nayeeeeee
😂😂😂😂😂kazania hapo kijana mzigo anatoa huyo.
Hahahahahaha!Kashaanza kumuita "My" habari imeisha hiyo😂😂😂😂
Tena kaambiwa aamue mwenyewe usiku mzima alale au apige airudishe kwao
Nawewe umepinda siku hiziKasikuchoshe hako, halafu hakajui kuandika vizuri kakupe tu bure...
Legend, habar ya masiku, kumbe upo Mzee mwenzanguKasikuchoshe hako, halafu hakajui kuandika vizuri kakupe tu bure...
Nipo, za kwako
Huyu anapaswa awe Mwenyekiti wa UWABATA,kuna hela naisikilizia...