SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Mgombea uongozi serikali ya wanachuo UDOM kutoka Social campus ambaye ni mdogo wa Hussein Bashe, ametimuliwa na wanachuo kitivo cha elimu na kushindwa kumalizia 'speech' yake. Amelazimika kupanda gari na kuondoka akiwa na wapambe wake wenye huzuni baada ya wanachuo kudai ataiweka serikali yao mikononi mwa Bashe, ambaye ni mwajiliwa wa RA.
Huyu kama sio raia hivi imekuwaje mpaka anakuwa mbunge? Au kawahonga mpaka TISS!Ahsante mwana JF kwa kuleta hii nondo kwani ni sahihi kabisa kwa wana dom kutuondolea uonzo wakina RA kwanza i wonder why their still in TZ to eat our taxes they should leave the country and go to their countries.
Hata raia wa kigeni siku hizi wanaruhusiwa kugombea uongozi kwenye serikali za wanafunzi? Mbona walimzuia yule Mganda wa UD mwaka juzi?
Ni jina kiongozi la kijana mmoja raia wa Uganda ambaye alikuwa anasoma degree ya sheria pale mlimani kama sikosei.What language is that?????????
ndio njia pekee ya kuweza kujihakikishia unapokuwa mkimbizi kwenye nchi za watu mfano kinana.bashe.rostum.na wengine wengi tu wabunge wote wenye asili ya asia uraia una utataAfadhali kwa kumpiga chini huyo dogo no wale2 wanataka kuanza kukwea kiaina kisiasa.