Uchaguzi 2020 Mdogo wake Cardinal Pengo ajiunga na TLP atangaza kugombea ubunge

Uchaguzi 2020 Mdogo wake Cardinal Pengo ajiunga na TLP atangaza kugombea ubunge

Majasho

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2009
Posts
413
Reaction score
220
Solomon pengo ambaye ni mdogo wake cardinal pengo anatoka sumbawanga jimbo la kwela, aligombea ubunge kwa ticket ya CCM mwaka 2010 na 2015. Katangaza kujiunga na TLP na atagombea ubunge kupitia chama hicho


Allute David Emanuel aligombea ubunge manyoni kwa ticket ya Chadema na Kupata kura 38% ya kura zote zilizopigwa kwenye uchaguzi 2015 kwenye jimbo Hilo, amehamia TLP na ametangaza kugombea ubunge kwa ticket ya TLP


Morisson Thomas mpongolo kada maarufu naye katia nia kugombea ubunge kwa ticket ya TLP jimbo la singida mashariki, jimbo la Tundu Lissu

Wote wametambulishwa kama wanachama wapya, Makao Makuu ya TLP magomeni leo
 
Hao watapita tu katika ule mpango wa kuihadaa dunia kuwa Tanzania kuna mfumo wa vyama vingi ili mabeberu watukumbuke kwenye ufalme wao.
 
Vipi alishinda kwa kishindo?TLP oyeeeeee.
 
Back
Top Bottom