Mdogo wangu aliazima pesa sasa anadaiwa riba kama mkopaji

Mdogo wangu aliazima pesa sasa anadaiwa riba kama mkopaji

Bahati lucky

Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
16
Reaction score
13
Nina mdogo wangu aliazma pesa kwa jamaa mmoja maajabu muda wa kurudisha akaombwa riba, na makubaliano yao ni kuazma kawaida bila riba maana mtoa pesa hajasajiriwa na mamlaka husika na hatambiliki kama mfanya biashara wa kukopesa pesa,


Hapo sheria ina mbeba yupi maana mdai anasema lazma amshughulikie kisheria na mdaiwa anasema yuko tayar ila hatoi riba.
 
Back
Top Bottom