Mdogo wangu amerudi kutoka shule, amevimba sana usoni

pole sana mkuu.....mmeshajaribu kwenda hosp.
 
hospita anadai alienda akapewa vidonge but bado hali inajirudia mkuu

Upo mkoa gani? Nenda naye hospitali kwanza akafanyiwe culturing ya mwili mzima, usirud jf mpaka mmetoka hospital
 
Upo mkoa gani? Nenda naye hospitali kwanza akafanyiwe culturing ya mwili mzima, usirud jf mpaka mmetoka hospital

mwenzako anamuomba mzizi mkavu amsaidie wewe unamwambia aende hospital
 
mwenzako anamuomba mzizi mkavu amsaidie wewe unamwambia aende hospital

Sijamkataza, ila nadhan physical evidence ni muhimu ktk kutibu, hata mzizimkavu mwishon atamuambie aende hospital
 
Sijamkataza, ila nadhan physical evidence ni muhimu ktk kutibu, hata mzizimkavu mwishon atamuambie aende hospital

sawa kesho ngoja akapime ntawapa feedback
 
Yaani ulikuwa haumpeleki hosp? Itakuwa vigumu mtu kujua uvimbe gani labda aonywe uso kwa uso au unaweka picha ya vidonda. Pia inaweza kuwa ni ugonjwa, au maambukizo au vijidudu vimefanya hayo.

Mungu awe nae, mpeleke kesho hata muhimbili nenda ikishindikana kwingine.
 
asisahau kupima damu inaweza kua imechafuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…