spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,156
Wakuu ktk jf salaam.
Nina mdogo wangu aliyehitimu form 6 mwaka 1994 na alipata alama zifuatazo:
General Studies = F
Physics = E
Chemistry = S
Adv Maths = S
Naomba mnisaidie iwapo kwa utaratibu wa TCU anaweza kujiunga na chuo kikuu chochote tz ktk mchepuo wa sayansi.
Nina mdogo wangu aliyehitimu form 6 mwaka 1994 na alipata alama zifuatazo:
General Studies = F
Physics = E
Chemistry = S
Adv Maths = S
Naomba mnisaidie iwapo kwa utaratibu wa TCU anaweza kujiunga na chuo kikuu chochote tz ktk mchepuo wa sayansi.