Mdogo wangu kanifungukia kuwa hana nguvu za kiume! naomba ushauri

Pole. Kwa hiyo ukoo wenu mna kifafa?
Hapana Ndugu yangu hilo tatizo lilimuanza Tu ghafla akiwa primary, Ila hakuna mtu mwingine mwenye hiyo shida kwenye ukoo mzima
 
Kwa hiyo sababu kubwa ni dawa za kifafa?
 
Kwa hiyo sababu kubwa ni dawa za kifafa?
Ni dawa kwani dawa wanazo TUMIA zina usingizi wa kutosha tu, na zinafanya muscles ziregee na sababu ya kulegea huko Ni kumpuumnzisha ili kupungukiwa athari ya kifafa,hivyo kichwa wazi hawezi furukuta.ila usithubutu kumshauri aache dawa hata kidogo kwani dawa ndizo zitakazo punguza Kasi ya kifafa kwa asillimia kubwa na kumfanya baadae awe katika hali ya kawaida kabisaa na ataweza kazi vyema tu
 
Hapana Ndugu yangu hilo tatizo lilimuanza Tu ghafla akiwa primary, Ila hakuna mtu mwingine mwenye hiyo shida kwenye ukoo mzima
Hilo tatizo itakuwa lilimuanza toka akiwa mtoto mdogo ISIPOKUWA hamkuwa mkifuatilia maendeleo ktk ukuaji wake. halafu tatizo jingine wamama kutokufuuatilia
maendeleo ya ukuaji wa watoto na kugundua mabadiliko katika ukuaji Ni tatizo jingine.Pia wababa HAWANA habari kabisaaaa kuhusu ukaguzi wa KADI la mama la KLINIK kwani dalili nyingine huwa katka KADI la mama pale alipo kwenda kujifungua je mtoto alilia? Baada ya muda gani je alinyonya? Baada ya muda gani toka azaliwe? Tukiwa wafuatiliaji tutawahi MAMLAKA ya tiba na kuepusha madhara makubwa ya baadae kwa watoto wetu.
 
Mleta mada Kuna njia ya asili AMBAYO hupunguza nguvu ya kifafa au hata kuponya kabisa I'll yataka ujasiri,umakini wa hali ya juu na maarifa,nguvu na huruma kidogo wakati was kuitekeleza.
Njia hiyo husaidia kupitisha hewa au kumfanya mgonjwa wa kifafa asipate tabu kuvuta na kutoa pumzi kwa wakati
 
Huyo ana hofu tu, Vijana wengi katika umri huo huwa wana wasiwasi sana na miili yao
.
Kama amewahi kuwa rijali, basi ni rijali tu

Mwambie aondoe kudhani kuwa yeye si rijali, akiliondoa hilo akilini mwake na kuamini kuwa ni rijali atashangaa kuona ubongo unatimiza wajibu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…