It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Aslaam alaykum wana Jamvi wa Jf.
Nahitaji kujiunga katika ulimwengu wa elimu ya juu kwa mwaka 2011-2012.
Naomba mnishauri ni some fani ipi na katika chuo gani kulingana na pass mark zangu za O-level na A-level. Kama ifuatavyo
O-LEVEL😀IV-III point 23 Hist-C , Geo-D ,ENG-C, Bios-B, Kisw-C, Math-D, Civ-C.
A-LEVEL: Comb-HGE
DIV-I point 7.
Hist-C, Geo-B, Eco-B, Gs-S, BAM-F.
Mapendeleo yangu: Mzumbe,UDSM,SUA
naomba kuwasilisha
Nahitaji kujiunga katika ulimwengu wa elimu ya juu kwa mwaka 2011-2012.
Naomba mnishauri ni some fani ipi na katika chuo gani kulingana na pass mark zangu za O-level na A-level. Kama ifuatavyo
O-LEVEL😀IV-III point 23 Hist-C , Geo-D ,ENG-C, Bios-B, Kisw-C, Math-D, Civ-C.
A-LEVEL: Comb-HGE
DIV-I point 7.
Hist-C, Geo-B, Eco-B, Gs-S, BAM-F.
Mapendeleo yangu: Mzumbe,UDSM,SUA
naomba kuwasilisha