Mdomo kuwa mchungu kwa mjamzito

Mdomo mchunga, unajaa mate, huisha baada ya miezi mitatu.
 
Kinachotokea ni kuwa immune system inadetect foreign body ndani ya mwili wako na katika kipindi hiki immune system ina shake. Baada ya miezi mitatu mwili unagundua kuwa foreign body haina madhara na mtoto anaendelea kukua
 
Hiyo hali mara nyingi huisha baada ya miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito ila wengine huendelea mpaka wanajifungua.
Zipo sababu nyingine ila mojawapo ni kutokana na ongezeko la hormone ya kike(oestrogen) hii huusika na utambuzi wa ladha wa vyakula unavyokula.
Jinsi kiwango cha oestrogen kinavyobadilika na ndo jinsi uwezo wa kuhisi ladha hubadilika.

Kula matunda kama machungwa, zabibu au kunywa juisi yake kupunguza uchungu. Jitahidi kunywa maji mengi kwa siku. Safisha kinywa chote sugua ulimi vizuri.
 
Kinachotokea ni kuwa immune system inadetect foreign body ndani ya mwili wako na katika kipindi hiki immune system ina shake. Baada ya miezi mitatu mwili unagundua kuwa foreign body haina madhara na mtoto anaendelea kukua
Sijaelewa vizuri ka uhusiano kwa hiyo ladha "uchungu", na immune system",
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…