Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba ufafanue vizuri huo mdomo mchungu kivipi na wakati gani?una toa harufu yoyote?Una malaria/homa?Habari wana JF,
Naomba kupatiwa ufafanuzi, tatizo la mdomo kuwa mchungu linasababishwa na kitu gani, maana ni siku ya pili sasa. Naomba msaada wenu pleaseeeeee.
Habari wana JF,
Naomba kupatiwa ufafanuzi, tatizo la mdomo kuwa mchungu linasababishwa na kitu gani, maana ni siku ya pili sasa. Naomba msaada wenu pleaseeeeee.
thank you mkuuKaribu
- Mdomo kuwa mchungu yaweza kuwa ni malaria,
- Fanya hili jaribio - Lamba kiasi kidogo cha sukari , Iwapo hutasikia ile ladha ya utamu wa sukari, Hiyo ni ishara tosha kwamba una malaria.
- Nenda hospitalini mapema ufanye vipimo kabla ya kutumia dawa yeyote. Pole sana,
Akapime mimba.Habari wana JF,
Naomba kupatiwa ufafanuzi, tatizo la mdomo kuwa mchungu linasababishwa na kitu gani, maana ni siku ya pili sasa. Naomba msaada wenu pleaseeeeee.