mduara...

Mbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2007
Posts
12,752
Reaction score
7,861
...Hivi, mtu anakuwa na dhamira gani kiasi cha kuamua 'kutembea' na ndugu wa ex-partner wake?

Kwa maoni yako, nani ni mkosa hapa?


 
Hiyo ina utata!

- Nahisi ni freedom of expression,

kwa hiyo haina matata.
 
Hiyo ina utata!

- Nahisi ni freedom of expression,

kwa hiyo haina matata.

...yawezekana, lakini hiyo ni kuivuka mipaka kwa kuiruka tena kwa matusi na kejeli tele!...
 
Unauliza baba .. darja ya binaadamu inashuka sasa .. hatuna tofauti na wanyama .. hiyo ndo furaha na iblis .. kuwapoteza watu
 
Living like a ROCKSTAR!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…