Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya majinga yanajisahau na vyeo vya kupewa...... yanasulubu wenzao Kwa sababu ya uchawa.....kumbuka unayemfurahisha sio MUNGU, hamjifunzi Kwa habari ilyotokea awamu fulani
OnhooMzee Chaula: Namtaka Mwanangu akiwa Hai au Mfu
CCM ni wauajiMzee Chaula: Namtaka Mwanangu akiwa Hai au Mfu
CCM ni wauaji.Kila ubaya utalipwa
Nini tenaaIla Mdude jamani!
Netanyahu! Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu chochote kabisa! Rc na DC ni vyeo vya wakoloni, katiba mbovu sana! Rubbish!RC mshenzi sn
Chawa! Si ni picha yake aliichora mwenyewe? Shida Iko wapi? Kiherehere cha machawa!Ishu ya huyo dogo kuchoma picha aliyoichora mwenyewe ni huyu huyu Homera ndiyo aliikuza sana hadi akashitakiwa na kuhukumiwa kifungo, wasamaria wema wakamchangia faini akatoka nje akiwa huru lakini Homera hakuridhika sasa kijana haonekani lazima Homera ana mkono wazazi na ndugu zake wasikubali Homera ndiye mtu wao wafanye liwezekanalo iwe ndumba au mizimu lazima wajibu mapigo.
"If you undermine our security we undermine yours too, and if you kill our people we kill yours too. So, the choice is yours."