UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Huko ni kutaka kuwasumbua wataalam wa saikolojia bila sababu, mdude na lisu wanatakiwa kuwa chini ya uangalizi wa madaktari wa vichaa. Milembe hospital ndiyo mahali panawafaa.Chadema wasione shida kumtafutia mtaalamu wa saikolojia au kumpeleka hospitali kabisa. Mdude Ana shida
matusi sasa, aende na baba yako as he also deserves being thereHata Mwenyekiti apelekwe Sober house!! Baada ya miezi sita wanaweza kurudi sasa kuendelea na mikutano
Yes, mwenyekiti anaweza kutafutiwa mtaalamu wa saikolojia ili asaidiwe tatizo lake la tungi, lakini mdude na lisu ni Milembe kwa madaktari wa vichaa. Hao tatizo lao siyo psychological, ni brainal.Hata Mwenyekiti apelekwe Sober house!! Baada ya miezi sita wanaweza kurudi sasa kuendelea na mikutano
Ni matokeo ya mateso aliyokuwa subjected kwenye utawala wa Magufuli ambao ulikuwa unaogopa wakosoaji.johnthebaptist Nakualika twende kwa Mdude CHADEMA Nyagali kijijini kwake tukasikilize mkutano kijijini kwake.
Angalizo kwa CHADEMA: Jaribu ku moderate aongee nini kwenye kadamnasi, maana ndugu yangu Mdude hachagui aseme nini na wapi! Mwanaharakati mzuri namuunga mkono sana, lakini kwa mazingira yetu let him be moderated so as to maintain a calm environment currently prevailing kwenye mikutano ya hadhara.
Kwa aliyopitia ni ngumu kumbadli..johnthebaptist Nakualika twende kwa Mdude CHADEMA Nyagali kijijini kwake tukasikilize mkutano kijijini kwake.
Angalizo kwa CHADEMA: Jaribu ku moderate aongee nini kwenye kadamnasi, maana ndugu yangu Mdude hachagui aseme nini na wapi! Mwanaharakati mzuri namuunga mkono sana, lakini kwa mazingira yetu let him be moderated so as to maintain a calm environment currently prevailing kwenye mikutano ya hadhara.
Mfatilie zaidi tweeter utaelewa mkuu...yaani kajitoa mnoo ufahamu..mbona nimemsikiliza Mdude akielezea jinsi alivyokamatwa hivi majuzi na hakumtukana mtu yeyote?
..hebu tuletee video au maandishi ya Mdude ili wasomaji wako tujiridhishe kama yeye ndiye mkosaji, au waliomteka / waliomkamata ndio wakosaji.
..Msikilizeni Mdude akielezea jinsi alivyokamatwa hivi majuzi.
Ina maana hajui alitokea wapi?? Bas kwa guts zile naamini sio mTz...watz ni waoga mno!inaumizaNi matokeo ya mateso aliyokuwa subjected kwenye utawala wa Magufuli ambao ulikuwa unaogopa wakosoaji.
Mdude ana Historia ngumu sana. Hajui hata wazazi wake wako wapi, wala hajui kwao ni wapi. Hata viongozi wa CDM hawajui whether ni Mtanzania au Mkongo . Alizaliwa akajikuta anaishi tu na wasamaria wema. Up bringing yake ndiyo inamfanya awe kama myama, yaani fearless.
Siyo kwamba ana ujasiri bali maisha kwake hayana maana. Yuko kama mnyama akifa sawa, akijeruhiwa sawa, akilala shimoni sawa.
Mwenye akili nzuri, malezi na familia hawezi kutoa kauli kama ile pale Barracuda June 2021 siku 3 tu baada ya kutoka kwenye mateso kama yale.
😏Yes, mwenyekiti anaweza kutafutiwa mtaalamu wa saikolojia ili asaidiwe tatizo lake la tungi, lakini mdude na lisu ni Milembe kwa madaktari wa vichaa. Hao tatizo lao siyo psychological, ni brainal.
Ni mchezaji wa Simba pale Yanga.Ndio nani huyo mtu?
Ana wadhifa gani hapa Tanzania?
Huyo anafaa kutumika kwenye kampeni,mwisho ukome kuota Mji wa Mlowo na Bwawa Kijiji.Kabisa, mdude ni msema hovyo.
Tuna hoja ya msingi hapa, acha utoto! Mbowe ni another level! Asali wakati amewekwa gerezani almost a year! Acha utoto!Hachelewi kumlipukia Mbowe kalamba asali. Mdude akili yake anaijua mwenyewe
Mdude is still being groomed to be a perfect politician. lazima awe moderated! Tuko kwenye maridhiano, lazima tuangalie kauli zetu zisizid sana kuwaudhi upande mwingine BILA KU COMPROMISE OUR MAIN MISSION-KATIBA MPYA!Mwanaharakati mzuri unayemuunga mkono ajabu unataka awekwe chini ya uangalizi, kama hivi ndivyo, basi hawezi kuwa mwanaharakati mzuri tena, kwasababu huyo atakuwa ha-fit kwenye mazingira ya kisiasa aliyopo.
Kumuita mzuri halafu kutaka awekwe chini ya uangalizi ni sawa na kumfundisha unafiki, unataka awe plastic, ili kesho nae muanze kumuita mlamba asali!, muache abaki kama alivyo, kama akikosea mahakama zipo apelekwe huko akashtakiwe.
Uko sahihi kabisa. Mdude ni mzuri sana tena sana. lakini kuna wakati kauli zinakuwa na ukakasi! He is good! Hasa wakati huu wa maridhiano.MDUDE NA LISU NA WENGINE NI ZAWADI NCHI TUMEPEWA NA MUNGU. TUWATUMIE NA KUWATAMBUA KWA MASLAHI YA NCHI. SIO KUWAONA ADUI. NINGEKUWA RAIS NINGEUNDA TAASISI AU KITENGO RASMI CHA UKOSOAJI. UKOSOAJI NI UBUNIFU UNAOLETA MAMBO MAPYA NA KUBORESHA MAMBO. NI WAZURI KULIKO WENYE KUKUBALI KILA JAMBO. KAMA VILE KUNAUVUMBUZI NA UBORESHAJI WA VITU VYA KITEKNOLOJIA HIVYOHIVYO HATA NYANJA ZA KIJAMII. HAO NI LULU NA HAZINA. KWANINI WAONEKANE WABAYA NA ADUI.
Mshana Jr , Mdude is being groomed to be a perfect politician. Lazima kum moderate aweze kufika huko tunakotarajia afike. Ni kijana mzuri sana, mwanaharakati mzuri sana. Kwa maridhiano yanayoendelea, lazima tuchague tuseme nini na tuache nini BILA KU COMPROMISE OUR MAIN MISSION: KATIBA MPYA NI LAZIMAKwa aliyopitia ni ngumu kumbadli..
Walimbandua?Serikali ilichomfanya hawezi kurudi nyuma hakya mungu
Sasa mnategemea kuongoza nchi kisa tu mtu hachagui cha kusema!johnthebaptist Nakualika twende kwa Mdude CHADEMA Nyagali kijijini kwake tukasikilize mkutano kijijini kwake.
Angalizo kwa CHADEMA: Jaribu ku moderate aongee nini kwenye kadamnasi, maana ndugu yangu Mdude hachagui aseme nini na wapi! Mwanaharakati mzuri namuunga mkono sana, lakini kwa mazingira yetu let him be moderated so as to maintain a calm environment currently prevailing kwenye mikutano ya hadhara.