Punguza matembezi na all time muwe na wau wasiopungua 10 at any time. Simu zenu ziwe katika mode ya picha kuchukua picha za watekaji. Be in a strategic position to avoid being seen easily while taking pictures!
Nimewataja hao tu lakini wote inabidi kuwa macho sana, hasa those vocal viongozi

Mdude Chadema
@mdudechadematz
Nimejulishwa kwamba wewe suluhu Samia unataka roho yangu. Nimepewa taarifa kwamba umeagiza mimi na Lema tuuawe mimi nawasubiri hao wauwaji wako. Sitakimbia nchi kama ambavyo sikumkimbia mtangulizi wako Magufuli nitakukabili nchi hii ni mali ya wananchi wala sio mali yako.
Nimewataja hao tu lakini wote inabidi kuwa macho sana, hasa those vocal viongozi

Mdude Chadema
@mdudechadematz
Nimejulishwa kwamba wewe suluhu Samia unataka roho yangu. Nimepewa taarifa kwamba umeagiza mimi na Lema tuuawe mimi nawasubiri hao wauwaji wako. Sitakimbia nchi kama ambavyo sikumkimbia mtangulizi wako Magufuli nitakukabili nchi hii ni mali ya wananchi wala sio mali yako.