Mdude na Sativa VOCAL AS YOU ARE, chukua tahadhali, watawateka kama wamemfanyia hivi Bonifas Jacob!

Mdude na Sativa VOCAL AS YOU ARE, chukua tahadhali, watawateka kama wamemfanyia hivi Bonifas Jacob!

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Punguza matembezi na all time muwe na wau wasiopungua 10 at any time. Simu zenu ziwe katika mode ya picha kuchukua picha za watekaji. Be in a strategic position to avoid being seen easily while taking pictures!

Nimewataja hao tu lakini wote inabidi kuwa macho sana, hasa those vocal viongozi





Mdude Chadema
@mdudechadematz

Nimejulishwa kwamba wewe suluhu Samia unataka roho yangu. Nimepewa taarifa kwamba umeagiza mimi na Lema tuuawe mimi nawasubiri hao wauwaji wako. Sitakimbia nchi kama ambavyo sikumkimbia mtangulizi wako Magufuli nitakukabili nchi hii ni mali ya wananchi wala sio mali yako.
 
Punguza matembezi na all time muwe na wau wasiopungua 10 at any time. Simu zenu ziwe katika mode ya picha kuchukua picha za watekaji. Be in a strategic position to avoid being seen easily while taking pictures!

Nimewataja hao tu lakini wote inabidi kuwa macho sana, hasa those vocal viongozi
TAARIFA YA DHARURA

Mh Boniface Jacob amekamatwa muda huu na polisi wenye difenda muda huu maeneo ya Sinza na haijajulikana amepelekwa wapi.

C&p
 
Ile hotuba ya Jana italeta madhara makubwa sana ni kama jamaa wamewashiwa taa ya kijani
 
si unamtumia wito? Kwani kaua? Jinai gani ambayo haitumiwi wito?
Uwito kwa mhalifu ,uko mtaani wezi uwaga mnawahitia uwito kaka funguka awa watu wanapigania masilahi yao ndio maana uku mtaani hakuna anaye wafuatilia
 
Polisi wamemtoa Bonny Osterbay, na sasa wanaenda nae nyumbani kwake Mbezi, Msakuzi kwaajili ya Upekuzi. Wakili Msomi Hekima Mwasipu ameambatana nae.!
 
IMG-20240918-WA0053.jpg
 
Back
Top Bottom