TAARIFA YA DHARURAPunguza matembezi na all time muwe na wau wasiopungua 10 at any time. Simu zenu ziwe katika mode ya picha kuchukua picha za watekaji. Be in a strategic position to avoid being seen easily while taking pictures!
Nimewataja hao tu lakini wote inabidi kuwa macho sana, hasa those vocal viongozi
si unamtumia wito? Kwani kaua? Jinai gani ambayo haitumiwi wito?Ajatekwa ni mhalifu ntakuja tetea wahalifu hadi lini
Yupo MbeyaSativa yupo Nairobi labda mdude
Uwito kwa mhalifu ,uko mtaani wezi uwaga mnawahitia uwito kaka funguka awa watu wanapigania masilahi yao ndio maana uku mtaani hakuna anaye wafuatiliasi unamtumia wito? Kwani kaua? Jinai gani ambayo haitumiwi wito?
Wanaona kutekwa ni dili sio! Wana matatizo ya akili sio bure