Mdude Nyagali: Kinachoendelea kwenye uchaguzi wa BAVICHA ni rushwa, hongera sana vijana kwa kuidhibiti

Mdude Nyagali: Kinachoendelea kwenye uchaguzi wa BAVICHA ni rushwa, hongera sana vijana kwa kuidhibiti

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Amenadika Mdude Nyagali kwenye Mtandao wa X.

Kwa wale wageni ambao hawajui mambo ya uchaguzi ndani ya vyama n.k.

1. Posho za wajumbe hutolewa mapema tu wanapowasili na wahasibu walioteuliwa pamoja na viongozi hadharani kwa kuhakiki majina kisha kusaini.

2. Posho huwa haitolewi uchochoroni kama hivi kwa kificho tena na mtu asiyekuwa mhasibu wala sio kiongozi wa ngazi husika.

3. Posho huwa haitolewi katikati ya zoezi la uchaguzi linavyoendelea kama huyu.

4. Nauli hutolewa baada ya zoezi kukamilika hadharani kwa kila mjumbe kuwasilisha tiketi yake kwa wahasibu.

Kwa kifupi hiki kinachoendelea Mlimani City ni rushwa na hongera sana vijana kwa kuidhibiti.
 
KWAHIYO MAKAMANDA WA CHADEMA NDIYO HAWA MDUDE NAYERICKO??CHADEMA HOVYO SANA
 
Back
Top Bottom